Bongo-mpya
JF-Expert Member
- Nov 10, 2020
- 311
- 244
Mwalimu alitushauri kamwe tusichague rais kutoka kabila kubwa! Tukumbuke hili 2025 tafadhali!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lako ni ujinga.Ninauliza tu muda ule wa Tigray walijazana TRA kisa wamesoma ivi uliliona hilo suala ama ni kwa vile walikuwa wamesoma wao tu.
Acheni wachunga nao wale keki bana mbona kama unaumia. Enzi hizo maendeleo mpaka umeme wafungwa mgombani. Na watakutawala subiria na katiba inabadilishwa ni mwendo wa kimu7 kama vipi hama nchi bana.
Na tunahamisha mlima na mbuga zote Kwenda chato.
Sema akili yako imekaa kuangalia ukabila ndo mana unayaona haya kitu kidogo . you're already addicted with tribalism
Mtoa maada hauko wazi binafsi sijakuelewa, ninaogopa kuchangia kwa hisia zangu! Una maanisha nini,? Ita faa ukitoa na mifano!Tusiposema sasa mawe yatasema.
Sasa hivi nchi inapitia ubaguzi wa wazi kieneo, ukabila na upendeleo wa wazi kwa sehemu fulani fulani nchini Tanzania.
Haya ni mambo ambayo Tanzania hatukuyazoea wala kushuhudia toka enzi za kupata uhuru.
Mwalimu alijishusha mno na hata hakupendelea kwao kwa jinsi tunavyoshuhudia sasa, mimi Butiama nimefika.
Ubaguzi wa aina yoyote una mwisho si mzuri kwa mustakabali wa Taifa.
Chama kimelala.
Bunge ndio kabisa.
Lakini wahenga wanasema tutavuna tunachopanda.
Uwanja wa ndege uliopo chato ndiyo wa Geita , unasemaje Geita haina?! Je uwanja wa ndege kimataifa wa Kilimanjaro ambao upo wilaya ya Hai mpona hauiti uwanja wa kimataifa wa Hai badala yake unauita wa Kilimanjaro?! Kutoka KIA kwenda Arusha mjini ni kilomita kama 80, je tunahitaji uwanja wa kimataifa Arusha?! Mwanza mbona uwanja wa Ndege wa kimataifa upo ,ulishapanuliwa siku nyingi!Vipi utaratibu wa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa chato wakati Arusha au mwanza au geita hamna ni sawa?
Hizo kazi za mikono yao ndiyo zimejenga lami zote mpaka migombani! Acha kuleta uchochezi!Wachagga wanajivunia bidii ya mikono yao zaidi ya kazi za serikali,ndiyo maana wanajivunia nyumba bora,elimu bora,uchumi wa mtu mmoja mmoja na biashara zao zaidi ya viwanja vya ndege na makusanyo ya tra,hawajivunii ukoloni japo ukoloni ndiyo uliowawezesha kielimu kuliko hata serikali ya nchi yao,hivyo tu
Ingekuwa hawajivunii kazi za serikali wasingejazana huko na wasingezililia.Hizo kazi za mikono yao ndiyo zimejenga lami zote mpaka migombani! Acha kuleta uchochezi!
Wanaitwa WanyongeAlafu kuna watu wanataka kumuongezea muda 😬😬😬 Anyway kila mtu apambane na hali yake
Huenda kuna siku nitakukumbusha jambo.Asante mkuu kwa mchango wako.
Nafikiri yanayojitokeza sasa yanadhihirisha michango ya mawazo ya wana JF.
Funguka tu mzee, ukweli unapoheshimiwa huponya.Huenda kuna siku nitakukumbusha jambo.
Ngoja tuone hali itakavyoendelea kujifunua zaidi.
Hahaha nizakale alikuwa anajitamba na mwendazake sasa hivi kapatwa kihoroFunguka tu mzee, ukweli unapoheshimiwa huponya.
Tunaona sasa wateule wa Mwendazake toka kanda pendwa walivyopora mali na fedha.
Hawajazani Bali wanaenda kwa kuwa wana sifa, wewe ulitegemea uchunge mbuzi alafu uwe serikalini? SOMA ULE awamu yenu ya washamba imeshapita sasa hivi tupo na MAMAIngekuwa hawajivunii kazi za serikali wasingejazana huko na wasingezililia.
Vipi bado Ni 5 Tena? Hahahaha Zama za ushamba na ulimbukeni zishaishaNinauliza tu muda ule wa Tigray walijazana TRA kisa wamesoma ivi uliliona hilo suala ama ni kwa vile walikuwa wamesoma wao tu.
Acheni wachunga nao wale keki bana mbona kama unaumia. Enzi hizo maendeleo mpaka umeme wafungwa mgombani. Na watakutawala subiria na katiba inabadilishwa ni mwendo wa kimu7 kama vipi hama nchi bana.
Na tunahamisha mlima na mbuga zote Kwenda chato.
Sema akili yako imekaa kuangalia ukabila ndo mana unayaona haya kitu kidogo . you're already addicted with tribalism
Wewe Naona unachanganya madesaMazao mengine yote yaathiriwe na ujamaa lakn kahawa haikuathirika? Kwanini?
Sababu pekee ambayo ingeweza kunishawishi mkoa wa Kilimanjaro kuwa mbele kuliko mikoa mingine ni tabia yao ya kurudi nyumbani, kujenga nyumbani, yaani kutolowea huko anakoenda kutafuta maisha. Tabia ambayo makabila mengine ya kaskazini mwa Tanzania tumeiga/tunaiga.
Huwezi kusema wachagga ni wasomi kuliko wahaya au wakerewe au wanyakyusa. Au ukasema wachagga wana hela saana kuliko wakinga. Tofauti ni hiyo tu ya kupenda kwao. Makabila yote yakipenda kwao, vijiji vya Tanzania kote vitapendeza.
Mwambie huyo mla panyaWewe unajiingizia dole unajitekenya unajichekesha mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23] hivi unadhan maendeleo ya watu wa kask yameletwa na serikali? Labda nkupe mfano mwaka 2019 baada ya serikal kutokujishughulisha kwa chochote ktk jimbo la Vunjo wakazi wote wa vunjo tunaoishi nje ya jimbo na nje ya Tz tulichanga jumla ya Tsh 200,000/= na kutaka kufanya ujenzi wa barabara ya Lami lakin serikali kupitia Kamati ya ulizi na usalama kwa kumtumia DC Kipi warioba wkatumika kuzima zoezi hilo
Na jumla ya zaid ya Tsh 4.2 Bill ilipatikana tukataka kuweka kipande cha Lami Serikal ikaona aibu wakaizima na Kamati ya Harambee ilikua n ya Mbunge James Mbatia Wachungaji Mapadri Madiwani Pamoja na Wananchi wenyewe sasa ww jikunee wee jitekenyee alafu Ujicheke hapo tuambie km tunategemea serikali ya jiwe na wapiga domo kaya wake watuletee maendeleo tulishaamka kitambo
Well clarificationnadhani hukuchukua muda kuisoma kwa utulivu hoja yangu. mimi sikulenga kwenye matajiri wakubwa kama kina Anthony Diallo, Shirima, n.k, bali nimelenga kwa wananchi wa kawaida wa maeneo mbalimbali hapa nchini. na katika hoja yangu nimesema eneo ambalo halina zao la biashara lenye bei nzuri mara nyingi huwa halifaidiki kutokana na uwekezaji wa serikali ktk eneo hilo.
somo la hali ya kiuchumi ya maeneo mbalimbali hapa Tanzania nililipata wakati niko sekondari. nimebahatika kusoma ktk SHULE KONGWE za serikali na nilikutana na wanafunzi toka maeneo mbalimbali ya Tanzania. katika shule kongwe kulikuwa na utaratibu wa kuchukua wanafunzi toka mkoa mmoja kwa wingi kila mwaka. kulikuwa kuna mwaka wanakuja wanafunzi wengi toka mkoa kama Singida, mwaka mwingine watatoka Kilimanjaro, unaofuata Kigoma, n.k n.k.
sasa katika observation yangu niliweza kujua mkoa gani una changamoto za kiuchumi na umasikini kuliko mkoa mwingine kwa kuangalia hali za kiuchumi na mahitaji za wanafunzi waliokuwa wanaletwa kila mwaka shuleni kwetu. nakuhakikishia ukichukua random sample ya mtoto wa Kyela, Tandahimba, Manyoni, Maswa, Vunjo, n.k utaweza kujua eneo gani lina changamoto ya kiuchumi kuliko lingine. Na ukichunguza zaidi utajua kwamba changamoto hizo za kiuchumi zinatokana na uwepo au kutokuwepo kwa ZAO LA BIASHARA lenye bei nzuri, linalolipa, ktk eneo husika.
cc MzalendoHalisi, luambo makiadi
Kwani wewe unajua kuwa mkinga hatofikia huko mkuu. Roman empire niambie iko wapi saivi? Yaani watu bana mnajua wenyewe ndo MNA akili tu. Sema mko kikenya Kenyatta sana na bora Mareale hakupewa Uhuru akapewa nyerere.Wewe Naona unachanganya madesa
Yani mkerewe amzidi mchaga kwa elimu? My God mkerewe hata kwa mpare bado sana
Angalau mhaya ndio anawza ku compète na mchaga kielimu
Alafu kwa pesa ndio kichekesho Yani mkinga alieanza biashara ya NDAGU juzi Kati amfikie mchaga ambaye Ni mfanyabiashara kiasili? Hebu nitajie bilionea mmoja tu wa kikinga.
Unafananisha uchuuzi wa kariakoo na mabiashara makubwa i.e makampuni? Stage aliyopo mkinga now Ni uchuuzi ambao mchaga ashauvuka zamani mno
Teuzi tulishazilamba mno,pia ma seniors wamejaa huko ma wizarani kibao tu au nikupatie staff list ya kila wizara?Kwani wewe unajua kuwa mkinga hatofikia huko mkuu. Roman empire niambie iko wapi saivi? Yaani watu bana mnajua wenyewe ndo MNA akili tu. Sema mko kikenya Kenyatta sana na bora Mareale hakupewa Uhuru akapewa nyerere.
Saws mmesoma mbona teuzi mlilalamika kuwa hamkupata so mngekaa kwenye makampuni zenu. Na mlivyo hats kununua duka LA asiye mchaga kuna Sikh mtauziana wenyewe