Lasway.Jr
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 233
- 413
Ndugu wana Jf leo naomba nieleze kuhusu wimbi la watu wengi hasa mijini wanaoelekeza nguvu nyingi kuwafundisha watu hasa vijana Biashara hasa ujasiriamali !
Mimi katika pita pita zangu nimekutana na watu wengi sana kwenye mitandao na hata ana kwa ana na watu hawa wanajiita Walimu, coach, mentor na majina mengine mengi yenye kuvutia kulingana na kile anachokifanya.
Na vijana wengi na akina mama wamekuwa mstari wa mbele kuwasiliza na hata kuwalipa pesa nyingi ili tuu wafundishwe ujasiriamali au namna ya kujiajiri, pia hawa watu wameandika vijitabu ambavyo mara nyingi hulazimisha wale wanaowafundisha kuvinunua na kuvisoma pia wamekuwa wakidharau sana watu walioajiriwa na kuwaona kama waliopotea njia.
Hapa nina maswali au mambo machache ambayo wadau nataka tuisaidie jamii yetu hasa vijana
1. Je ni qualifications zipi mtu anatakiwa kuwa nazo ili ajiite mwalimu, coach, au mentor kwenye ujasiriamali?
2. Je kuna chomba gani au vigezo gani jamii hutumia ili kubaini waalimu, coach, mentor wa kweli kwenye ujasiriamali?
3.Ni wapi hasa watu hawa wanapatia katika kufundisha au ni wapi huwa wanafanya makosa sana?
4. Je kuna haja ya serikali kuingilia kati na kusimamia ubora na ueledi wa watu hawa ili wasiipotoshe jamii au kudanganya?
Wakati wadau mkiendelea kuchangia nimalizie kwa kusema kuwa kwa dunia ya sasa the next group of people ambalo litasikilizwa sana na kupewa uzito sio tena wanazuoni au wasomi bali ni watu wale ambao wameweza kutatua matatizo ya watu na kuwapa solution stahiki na matajiri au entrepreneurs
Lakini tusipojenga misingi imara ya kukua tumsilize nani na wapi tutapata taarifa au elimu sahihi ya haya mambo tutaishia kuwa na kizazi cha hovyo kabsaaaa
Karibuni[emoji91][emoji41]
Mimi katika pita pita zangu nimekutana na watu wengi sana kwenye mitandao na hata ana kwa ana na watu hawa wanajiita Walimu, coach, mentor na majina mengine mengi yenye kuvutia kulingana na kile anachokifanya.
Na vijana wengi na akina mama wamekuwa mstari wa mbele kuwasiliza na hata kuwalipa pesa nyingi ili tuu wafundishwe ujasiriamali au namna ya kujiajiri, pia hawa watu wameandika vijitabu ambavyo mara nyingi hulazimisha wale wanaowafundisha kuvinunua na kuvisoma pia wamekuwa wakidharau sana watu walioajiriwa na kuwaona kama waliopotea njia.
Hapa nina maswali au mambo machache ambayo wadau nataka tuisaidie jamii yetu hasa vijana
1. Je ni qualifications zipi mtu anatakiwa kuwa nazo ili ajiite mwalimu, coach, au mentor kwenye ujasiriamali?
2. Je kuna chomba gani au vigezo gani jamii hutumia ili kubaini waalimu, coach, mentor wa kweli kwenye ujasiriamali?
3.Ni wapi hasa watu hawa wanapatia katika kufundisha au ni wapi huwa wanafanya makosa sana?
4. Je kuna haja ya serikali kuingilia kati na kusimamia ubora na ueledi wa watu hawa ili wasiipotoshe jamii au kudanganya?
Wakati wadau mkiendelea kuchangia nimalizie kwa kusema kuwa kwa dunia ya sasa the next group of people ambalo litasikilizwa sana na kupewa uzito sio tena wanazuoni au wasomi bali ni watu wale ambao wameweza kutatua matatizo ya watu na kuwapa solution stahiki na matajiri au entrepreneurs
Lakini tusipojenga misingi imara ya kukua tumsilize nani na wapi tutapata taarifa au elimu sahihi ya haya mambo tutaishia kuwa na kizazi cha hovyo kabsaaaa
Karibuni[emoji91][emoji41]