Kuongezeka kwa wimbi la waalimu wa ujasiriamali na Uchumi, wengi wao wakijiita majina ya Coach, mentor, n.k

Sijaelewa umeandika nini na ujaelewa mantiki yangu, “wanataka kuwa matajiri bila kufanya kazi" nini maana ya kazi au unahisi kubeba mizigo mizito mijasho ndio kazi.

Feudal themes in information era.
Kufanya utapeli utapeli, yaani vijana hawataki kuumiza vichwa,
 
Mi sioni tatizo kuwa na hao mamenta sijui walimu. Ila kama hauko commited na nia ya dhati ya kufanya biashara utakuwa muhuzuriaji wa kila semina na utamaliza vitabu vyote vya kiyosaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…