Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
- Thread starter
-
- #41
Huyu sister yuko bomba sana, mtutsi, lakini namuona mkorofi fulani na anajisikia sana. Hata rafiki zangu anawaonyesha dharau na baadhi wameanza kummind. Kwa kuwa mimi ni kijana mpole nahisi akishakamata wizara ataleta zake fulani za kufanya maisha ya ndoa yawe magumu. Acha tuzoeane vema kama wapenzi halafu tutajua destiny baadae, eh mamaa!!hee kwa hiyo bado unaendelea kuonja onja ???
LOL! Am slow learner kumbe?
Au yale mamilio mnayoyatoaga wakati wa kumegwa ndo kufika kileleni?
Au mnavyopumua kama mmekimbia marathoni?
Au mnavyotung'ataga?
Au mnavyoachia ukunga nakooo nakoo nakooooo..joooo.....aaaaaa?
Mi sijui bana. NIFUNDISHE BATHI?
Jamani my wife to be bht unaona mambo hayo? upo wapi na sisi tuonje!
Suala hili ni nyeti sana kwa jamii yetu hasa wakati wa sasa, jamii ambazo zinaishi pamoja na jamii nyinginezo ambazo zina maadili na mila na desturi zinazokwenda kinyume na sisi.
Kama wewe ni muumini wa dini hakika ni madhambi kwa mwanamme na mwanamke kufanya tendo la ndoa kabla ya kuoana. Mnatakiwa mjitahidi upeo wa uwezo wenu kuomba msamaha kwa kosa hilo. Hakika Mwenyezi Mungu ni mwingi wa huruma na mwingi wa kusamehe
Tunamuomba Allah (Subhaanahu wa Taala) Awawezeshe musiwe ni wenye kurudia tena jambo hilo, mpaka mfunge ndoa.
A man knows when a lady fakes-------- I know you know but you just dont want us to know that you know
Ahaa! Kumbe ulikuta kitu used?
Sasa alikuwa anaringa nini?
Sasa mjaribu tena unataka kuonja mtandao wa kujiexpress uone.
MI SIMO lakini~
Huyu sister yuko bomba sana, mtutsi, lakini namuona mkorofi fulani na anajisikia sana. Hata rafiki zangu anawaonyesha dharau na baadhi wameanza kummind. Kwa kuwa mimi ni kijana mpole nahisi akishakamata wizara ataleta zake fulani za kufanya maisha ya ndoa yawe magumu. Acha tuzoeane vema kama wapenzi halafu tutajua destiny baadae, eh mamaa!!
hahahahahahaha kweli kabisa....Kweli kabisa... umeonja endelea kuropoka utakula kabisa
Teh teh teh! Na wewe chizi kama Ngoshwe nini? Mimi line yangu tofauti, situmii huo mtandao wa kujiexpress bwana.
Ambassador kwani wewe huwajui watusi jamani ..wale waache waoane wao kwa wao kama mko hapa msinimeze sorry ..
Na pia kumbe wewe unaangalia uzuri wa sura zaidi
He!
HAYA TWENDE KAZI!
ZINAA!!! Siku izi vya haramu vimekuwa halali!!!!! Na nivitamu!! Ushajionjea, na kama kaugonjwa kapo hapo na mlienda kavu na kenyewe kamekuonja!!!
Na pia kumbe wewe unaangalia uzuri wa sura zaidi
Huyo dada mlikuwa mnatakana siku nyingi, si ajabu hata usingeropoka angekugawia mwenyewe.. Maana hawa madada zetu wa siku hizi anaweza akakuzimia kwa kitu kidogo sana,, Je Huyo dada ana Mume? na wewe una mke au mchumba? ANGALIA usije ukaonja asali ukachonga na MBUYU kabisa..
'IKIMBIENI ZINAAA'
Ambassador Jamani said:wewe ambassador unafikiri ulifanya vzr au vibaya?
kama lengo lako na nia yako ya kumuonja ilifanikiwa, basi ulifanya vzr!
lakini nikukumbushe tu kitu kimoja, unapotaka kwenda kumuonja mpenzi wako mpya(nadhani) kumbuka: kupimwa wote wawili kaukimwi au kama ulikuwa na haraka sana basi kakondomu unakachukua. maana usije taka kuonja kisha ukaishia kula chungu
Jamani ameshaonja, sasa anakula!
Ndoa ni lazima uende kanisani au msikitini? ukisha megana ndo ushafunga ndoa! sasa hesabu ni wangapi waume/wake zako