Kuota kwa kokwa la tatu ndani ya korodani!

Hiyo sio kokwa bali ni uvimbe(mfano wa tezi) unaanza na kukua taratibu, ndio maana ukiliminya linaleta maumivu..
Muone daktari haraka iwezekanavyo.

NB:Umuone daktari sio bwana mganga maana atakupa panadol tu.
 
Hebu jibu kwanza swali langu ili nione kama nina uwezo wa kukusaidia.
Je unatatizo la mshipa wa ngiri?. Maana hivi karibuni nimehangaika saana kumtibu mdogo wangu aliyekuwa na tatizo la ngiri. Na kutokewa vi uvimbe vitatu zaidi ndani ya korodani. Na vilikuwa vinamwuma haswa
 

Shukrani Sana mkuu! Nitazingatia hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…