Mkuu hiyo ni normal condition na hutokea baadhi ya males.
Cha kukupongeza ni kwa kujiongeza mpaka umeijua hiyo condition uliyonayo.
Sasa cha muhimu zaidi ni kufika kwa mtaalamu wa afya ili aweze kukufanyia check up ili kuona kama kuna shida yoyote.
Kama hakuna dalili yoyote ya cancer au maradhi mengine huwa hakuna tiba inayofanyika kwakuwa ni condition isiyo na madhara hata katika fertility.
Cha muhimu uwe unafanya check ups hata mara moja kila mwaka kuona maendeleo yakoje na kuweza ku monitor kama kuna growth yoyote ya cancer cells.