Kuota kwa kokwa la tatu ndani ya korodani!

Kuota kwa kokwa la tatu ndani ya korodani!

Hiyo sio kokwa bali ni uvimbe(mfano wa tezi) unaanza na kukua taratibu, ndio maana ukiliminya linaleta maumivu..
Muone daktari haraka iwezekanavyo.

NB:Umuone daktari sio bwana mganga maana atakupa panadol tu.
 
Hebu jibu kwanza swali langu ili nione kama nina uwezo wa kukusaidia.
Je unatatizo la mshipa wa ngiri?. Maana hivi karibuni nimehangaika saana kumtibu mdogo wangu aliyekuwa na tatizo la ngiri. Na kutokewa vi uvimbe vitatu zaidi ndani ya korodani. Na vilikuwa vinamwuma haswa
 
Mkuu hiyo ni normal condition na hutokea baadhi ya males.

Cha kukupongeza ni kwa kujiongeza mpaka umeijua hiyo condition uliyonayo.

Sasa cha muhimu zaidi ni kufika kwa mtaalamu wa afya ili aweze kukufanyia check up ili kuona kama kuna shida yoyote.

Kama hakuna dalili yoyote ya cancer au maradhi mengine huwa hakuna tiba inayofanyika kwakuwa ni condition isiyo na madhara hata katika fertility.

Cha muhimu uwe unafanya check ups hata mara moja kila mwaka kuona maendeleo yakoje na kuweza ku monitor kama kuna growth yoyote ya cancer cells.

Shukrani Sana mkuu! Nitazingatia hili.
 
Back
Top Bottom