Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaKwa hiyo bro wewe una makende matatu
Aisee umefunika
Mkuu hiyo ni normal condition na hutokea baadhi ya males.
Cha kukupongeza ni kwa kujiongeza mpaka umeijua hiyo condition uliyonayo.
Sasa cha muhimu zaidi ni kufika kwa mtaalamu wa afya ili aweze kukufanyia check up ili kuona kama kuna shida yoyote.
Kama hakuna dalili yoyote ya cancer au maradhi mengine huwa hakuna tiba inayofanyika kwakuwa ni condition isiyo na madhara hata katika fertility.
Cha muhimu uwe unafanya check ups hata mara moja kila mwaka kuona maendeleo yakoje na kuweza ku monitor kama kuna growth yoyote ya cancer cells.