Leo Asubuhi
Member
- Apr 5, 2017
- 64
- 43
Habari za weekend wadau, Nina tatizo Kuna nyama imeota unapoishia Ulimi, ambao unasababisha maumivu makali Kooni na Kuna kipindi Koo linakuwa limekauka Sana, kifua kubana na kupumua kwa shida. Hospital nimekuwa nikipewa dawa tu ambazo naona hazijanisaidia Sana..naomba wadau Kama Kuna ushauri/dawa ya kukausha au kuondosha haraka.Naombeni msaada maana Hali n mbaya.