Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
miongoni mwa ndoto zangu hadi leo hii, sijui tatizo ni niniNawasalimu kwa mvua.
Nimeona jamaa angu kapost facebook na wengin wakaja na ushuhuda, mimi pia hii hali pia hunitokea. Hivi kwanini mara nyingi huwa naota niko form six na naogopa sitafaulu mtihani wa taifa na imepita miaka kumi. Wakati mtihani niliufaulu tena kwa pointi za kuwekewa rangi asa sijui ni stress tuu
mm form 4,yaaan kinachonishangaza kwamba kuna kuwa na somo moja sijasoma, bali kila siku miaka yoteBora wewe paper la form 6. Mimi mpaka paper la darasa la saba tena shule ile ile halafu unakuta kuna somo sijasoma kabisa
Nitakuja kuuliza swali kwa wote mliokuwa mkiona hivyo
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
[emoji1787]Ndoto sio lazima iwe na ukweli
Mie mara kadhaa huwa naota naacha kuvuta bangi akati kiuhalisia sijawahi hata kuwaza kuacha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndoto sio lazima iwe na ukweli
Mie mara kadhaa huwa naota naacha kuvuta bangi akati kiuhalisia sijawahi hata kuwaza kuacha
dah mkuu nilijua nipo peke yangu,hakuna ndoto nazichukia kama hizo unajikuta unaota hujajiandaa kitu half muda wa kuingia kwenye pepa unakaribia dah yani unajikuta unapanic kinyama huko ndotoni [emoji23][emoji23][emoji23]Nawasalimu kwa mvua.
Nimeona jamaa angu kapost facebook na wengin wakaja na ushuhuda, mimi pia hii hali pia hunitokea. Hivi kwanini mara nyingi huwa naota niko form six na naogopa sitafaulu mtihani wa taifa na imepita miaka kumi. Wakati mtihani niliufaulu tena kwa pointi za kuwekewa rangi asa sijui ni stress tuu
Jaribu kujichunguza kwa upande wangu most of the time nikiota hivyo kuna jambo litatokea ambalo nitarudi nyuma kimaendeleo .Nawasalimu kwa mvua.
Nimeona jamaa angu kapost facebook na wengin wakaja na ushuhuda, mimi pia hii hali pia hunitokea. Hivi kwanini mara nyingi huwa naota niko form six na naogopa sitafaulu mtihani wa taifa na imepita miaka kumi. Wakati mtihani niliufaulu tena kwa pointi za kuwekewa rangi asa sijui ni stress tuu
Nitakuja kuuliza swali kwa wote mliokuwa mkiona hivyo
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Nawasalimu kwa mvua.
Nimeona jamaa angu kapost facebook na wengin wakaja na ushuhuda, mimi pia hii hali pia hunitokea. Hivi kwanini mara nyingi huwa naota niko form six na naogopa sitafaulu mtihani wa taifa na imepita miaka kumi. Wakati mtihani niliufaulu tena kwa pointi za kuwekewa rangi asa sijui ni stress tuu
Someone trying kurudsha malengo yako unayopanga yasifanikiwe
sometimes ndoto hukosea njia ilmradi ikusumbue tu[emoji1]Nimetoka kuota ndoto ya kudaiwa vicoba[emoji23][emoji23] wakati sijawahi ingia kicoba cha aina yoyote Wala Sina deni popote, sometimes ndoto hukosea njia ilmradi ikusumbue tu