Hahahahaha atakuwa ametoka safari zake za ugandaMkuu umetoka jela Jana nn ,skuizi diamond hashindani tena na watanzania,alikiba size yake mbosso
HajielewiHebu kuwa serious basi
Hahahahahakili yako na avatar yako ni sahihi kabisa[emoji57][emoji57]
Anakuwa anatumia mkono umoja kuandika while mwengine iko anajiosha chooniHiki Ni kichekesho ambacho akijapata kutokea Tanzania duh eeh bwana umetoa Kali za mwaka.Hiv kwanini we jamaa unapenda kuandika pumba Sana hiv unakuaga unaandika wakati upo msalani Nini?
Hiki Ni kichekesho ambacho akijapata kutokea Tanzania duh eeh bwana umetoa Kali za mwaka.Hiv kwanini we jamaa unapenda kuandika pumba Sana hiv unakuaga unaandika wakati upo msalani Nini?
Aiyo Akijapata kutokea ni Hakijapata kutokea ili hiyo H ioneshe ukanushi..mnakimbia shule mnakimbilia JAMIIFORUM mbuz wa mzee heri.Hiki Ni kichekesho ambacho akijapata kutokea Tanzania duh eeh bwana umetoa Kali za mwaka.Hiv kwanini we jamaa unapenda kuandika pumba Sana hiv unakuaga unaandika wakati upo msalani Nini?
Pole sana mtoa mada... Tunamualika kiba100 kwenye wasafi festivalNapitia comment zenu hapa naona jinsi mlivyochomwa nazidi kuelewa namna KIBA anavyowatesa hahahaaaa...upuuzi wote wa comments zenu naujibu kwa hii comment moja...hii comment ni mjumuisho wa upuuzi wenu wote mlokoment...akili zenu na alotengua ubunge wa lissu zinafanana asa sisi akina prof ASSAD hatuwez jibu kila upuuz hahahahaaa..
akili yako na avatar yako ni sahihi kabisa[emoji57][emoji57]
Siyo moyo nna MIOYO 7 sijuiUna moyo.............
Alichoandika kina uhalisia wa 0.0000001%
So ROCKSTAR na CLOUDS wameungana katika hiko unachokifikiria?..poor U...umewasahau na SONY kaka.Hivi KIBA alishawahi kuwa KING wa bongo flava ??...
Sikumbuki ni lini kabla ya promo za rockstar na Clouds ambazo lengo lake lipo wazi.
punguzeni kumforce kuchukua title asiyoiweza maana mnampa tabu mswahili wa watu.
Ahsante..Mhmm mm nachojua alikiba anasauti nzuri ya kuimba bx cjui vingine ila kuna jmaa yy haijalish saut wala nn yy anatfta pesa
Alianza kuimba kabla ya huo uchafu unaoutaja je alikuwa na bifu na babako?..hahahahaaaaa na mashabiki tunashabikia kilicho kizurKiba anabebwa na mashabiki hamna chochote.
Tena ashukuru Mungu bifu lake na Mond lasivyo angekuwa kama z anton