Kupambana na Kiba "The King" ni ngumu na gharama sana

Kupambana na Kiba "The King" ni ngumu na gharama sana

Ni hatari sana kiafya kushabikia mziki wa Kiba na Taifa stars
Soma hiyo injinia
Screenshot_20190617-005828.jpeg
 
Pole sana mtoa mada... Tunamualika kiba100 kwenye wasafi festival
Alishawajibu kwamba labda awadhamini kupitia MO FAYA ratiba yake ngumu..anahitajika Germany few days to come..labda tutume uwakilishi hahahaa
 
Hivi KIBA alishawahi kuwa KING wa bongo flava ??...
Sikumbuki ni lini kabla ya promo za rockstar na Clouds ambazo lengo lake lipo wazi.

punguzeni kumforce kuchukua title asiyoiweza maana mnampa tabu mswahili wa watu.
ME NADHANI WEWE UNGEPASWA KUNYAMAZA AU KUTOANDIKA ULICHOANDIKA...UNAIKUMBUKA POST YAKO???
Screenshot_20190617-005828.jpeg
 
Hivi KIBA alishawahi kuwa KING wa bongo flava ??...
Sikumbuki ni lini kabla ya promo za rockstar na Clouds ambazo lengo lake lipo wazi.

punguzeni kumforce kuchukua title asiyoiweza maana mnampa tabu mswahili wa watu.
Mbona hii Avatar yako haiendani na aya uliyoyaandika mkuu yaani uyo mwenye iyo picha aisee nadhani uko aliko anaumia mno moyoni mwake!!
 
Mbona hii Avatar yako haiendani na aya uliyoyaandika mkuu yaani uyo mwenye iyo picha aisee nadhani uko aliko anaumia mno moyoni mwake!!
Usizuge nambie tu nitoe pivha ya BABAKO MKUBWA.
 
Alishawajibu kwamba labda awadhamini kupitia MO FAYA ratiba yake ngumu..anahitajika Germany few days to come..labda tutume uwakilishi hahahaa
Ok nasikia diamond amevunja record ya followeres M7 kwenye instagram


Ata alikiba nayeye kavunja kavunja hiyo record ila hatak kujionyesha[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ok nasikia diamond amevunja record ya followeres M7 kwenye instagram


Ata alikiba nayeye kavunja kavunja hiyo record ila hatak kujionyesha[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaaa mil 7 record?..stupid
 
Mwaka jana diamond alitoa ngoma moja tu ya baila na zingine zote alishirikishwa au umesahau?

Na cha ajabu Tanzania haikuwa nominated kwenye tuzo yoyote Africa na duniani ila mwaka huu kwa migoma hii subiri maajabu
 
Mwaka jana diamond alitoa ngoma moja tu ya baila na zingine zote alishirikishwa au umesahau?

Na cha ajabu Tanzania haikuwa nominated kwenye tuzo yoyote Africa na duniani ila mwaka huu kwa migoma hii subiri maajabu
Maajabu?...hahahahaaaaaaaa haya
 
Mwaka jana NEDY hajachukua tuzo na NANDY?..au kumbukumbu zinanidanganya
Mwaka jana diamond alitoa ngoma moja tu ya baila na zingine zote alishirikishwa au umesahau?

Na cha ajabu Tanzania haikuwa nominated kwenye tuzo yoyote Africa na duniani ila mwaka huu kwa migoma hii subiri maajabu
 
Back
Top Bottom