playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
- Thread starter
-
- #41
Soma hiyo injiniaNi hatari sana kiafya kushabikia mziki wa Kiba na Taifa stars
Alishawajibu kwamba labda awadhamini kupitia MO FAYA ratiba yake ngumu..anahitajika Germany few days to come..labda tutume uwakilishi hahahaaPole sana mtoa mada... Tunamualika kiba100 kwenye wasafi festival
ME NADHANI WEWE UNGEPASWA KUNYAMAZA AU KUTOANDIKA ULICHOANDIKA...UNAIKUMBUKA POST YAKO???Hivi KIBA alishawahi kuwa KING wa bongo flava ??...
Sikumbuki ni lini kabla ya promo za rockstar na Clouds ambazo lengo lake lipo wazi.
punguzeni kumforce kuchukua title asiyoiweza maana mnampa tabu mswahili wa watu.
Mbona hii Avatar yako haiendani na aya uliyoyaandika mkuu yaani uyo mwenye iyo picha aisee nadhani uko aliko anaumia mno moyoni mwake!!Hivi KIBA alishawahi kuwa KING wa bongo flava ??...
Sikumbuki ni lini kabla ya promo za rockstar na Clouds ambazo lengo lake lipo wazi.
punguzeni kumforce kuchukua title asiyoiweza maana mnampa tabu mswahili wa watu.
Usizuge nambie tu nitoe pivha ya BABAKO MKUBWA.Mbona hii Avatar yako haiendani na aya uliyoyaandika mkuu yaani uyo mwenye iyo picha aisee nadhani uko aliko anaumia mno moyoni mwake!!
Ok nasikia diamond amevunja record ya followeres M7 kwenye instagramAlishawajibu kwamba labda awadhamini kupitia MO FAYA ratiba yake ngumu..anahitajika Germany few days to come..labda tutume uwakilishi hahahaa
Hahahahaaa mil 7 record?..stupidOk nasikia diamond amevunja record ya followeres M7 kwenye instagram
Ata alikiba nayeye kavunja kavunja hiyo record ila hatak kujionyesha[emoji23][emoji23][emoji23]
Hiv Alikiba hajafolow mtu eeeh aiyo rekodAisee ali kiba yuko vizuriView attachment 1141735View attachment 1141736
Hayo ni majivuno ndio maana watu hawaangalii nyimbo zake[emoji23][emoji23]View attachment 1141737Hiv Alikiba hajafolow mtu eeeh aiyo rekod
Aaah naona unampambanisha KIBA NA MZEE WA KUKESHEA KOLABO?...Hayo ni majivuno ndio maana watu hawaangalii nyimbo zake[emoji23][emoji23]View attachment 1141737View attachment 1141738View attachment 1141739
Mkuu oyo comment mbona si ysko bali ni ya uyo mwenye comment niliyoiquote ndo nimemjibu chief!!Usizuge nambie tu nitoe pivha ya BABAKO MKUBWA.
Anhaaa nsamehe mzee mwenzanguMkuu oyo comment mbona si ysko bali ni ya uyo mwenye comment niliyoiquote ndo nimemjibu chief!!
DahApambane naye kivipi hahahaha bwege kweli kiba level yake ni lavalava sio diamond wala harmonize
Aah aah aah mzee baba umeuwaNi hatari sana kiafya kushabikia mziki wa Kiba na Taifa stars
Maajabu?...hahahahaaaaaaaa hayaMwaka jana diamond alitoa ngoma moja tu ya baila na zingine zote alishirikishwa au umesahau?
Na cha ajabu Tanzania haikuwa nominated kwenye tuzo yoyote Africa na duniani ila mwaka huu kwa migoma hii subiri maajabu
Mwaka jana diamond alitoa ngoma moja tu ya baila na zingine zote alishirikishwa au umesahau?
Na cha ajabu Tanzania haikuwa nominated kwenye tuzo yoyote Africa na duniani ila mwaka huu kwa migoma hii subiri maajabu
KanyagaaAaah naona unampambanisha KIBA NA MZEE WA KUKESHEA KOLABO?...
Kama kiba alivyomkanyaga boya wenu KTMA then NAFCAKanyagaa