The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,221
- 4,564
Siyo kuwa NOMINATED TU watu WALICHUKUA KABISA TUZO MZEE upo DUNIA GANI.Mwaka jana diamond alitoa ngoma moja tu ya baila na zingine zote alishirikishwa au umesahau?
Na cha ajabu Tanzania haikuwa nominated kwenye tuzo yoyote Africa na duniani ila mwaka huu kwa migoma hii subiri maajabu
Ukimpenda pia utakuwa na matatizo ya KIMAUMBILE.Ukimchukia Diamond utakua na matatizo ya akili
Hahahaaaa!haya mambo haya dooo!umebonga shudu aisee tena la mwakaNaona the way WCB na "MWENYEKITI WAO" Diamond Plutnumz wanavyopata tabu na huyu mtu na wameona waamue mbinu mpya tu ambayo ni KUTOA NGOMA ZAID YA 3 WAKATI KIBA akiwa katoa NGOMA hii TAFSIRI YAKE NI KWAMBA NGOMA 1 YA KIBA NI SAWA NA NGOMA 3 za DIAMOND jumlisha na watoto wake..na ndo maana utaona bado mtaani kuna upinzani wa DIAMOND vs KIBA au WCB vs KINGS though kuna watu kila kukicha wanaachia nyimbo...now asq ur self IF DIAMOND ATAKUWA ANATOA NGOMA MOJA KWA MWAKA KAMA KIBA AU KIBA AWE anaachia NGOMA ZAID YA 3 in short period of time unadhan HALI YA DIAMOND au WCB itakuwaje?...
We jamaa ujui kitu Bora kashabikie lede mziki upo juu ya uwezo wako.wadau msimjibu huyu mtoa mada naona akili yake haifanyi kazi alafu anapenda ligi za kipuuzi hiv uoni aibu wadau wote wamekupinga hakuna anayesapoti upuuzi uliandika.Kama kiba alivyomkanyaga boya wenu KTMA then NAFCA
Alokwambia nimeandika ili nipate sapoti nani?..asa unawaambia watu waainijibu afu we mwenyewe UNANIJIBU hahahahaaa pumbavWe jamaa ujui kitu Bora kashabikie lede mziki upo juu ya uwezo wako.wadau msimjibu huyu mtoa mada naona akili yake haifanyi kazi alafu anapenda ligi za kipuuzi hiv uoni aibu wadau wote wamekupinga hakuna anayesapoti upuuzi uliandika.
unajua tafsiri ya hiyo tuzo?Siyo kuwa NOMINATED TU watu WALICHUKUA KABISA TUZO MZEE upo DUNIA GANI.View attachment 1141753
Nandy hakuwa nominated wala kuchukua aina ya tuzo yoyote hata ya kawaida kama ya NeddyMwaka jana NEDY hajachukua tuzo na NANDY?..au kumbukumbu zinanidanganya
Enhe na NEDY?Nandy hakuwa nominated wala kuchukua aina ya tuzo yoyote hata ya kawaida kama ya Neddy
Kwani Z Anton alianza kuimba lini? Matonya jee? PNC? Wapo wapi sasa hivi?Alianza kuimba kabla ya huo uchafu unaoutaja je alikuwa na bifu na babako?..hahahahaaaaa na mashabiki tunashabikia kilicho kizur
Ko ukimpenda alikiba ndo unakua hauna hayo matatizo, huu ndio ushabiki mandaziUkimpenda pia utakuwa na matatizo ya KIMAUMBILE.
Ushabiki kitumbuaKo ukimpenda alikiba ndo unakua hauna hayo matatizo, huu ndio ushabiki mandazi
Na bado mtateseka sana, mpaka mtakapoacha kumfananisha Mond na mambo ya kijingaUshabiki kitumbua
unakwama wapi mkuu.Naona the way WCB na "MWENYEKITI WAO" Diamond Plutnumz wanavyopata tabu na huyu mtu na wameona waamue mbinu mpya tu ambayo ni KUTOA NGOMA ZAID YA 3 WAKATI KIBA akiwa katoa NGOMA hii TAFSIRI YAKE NI KWAMBA NGOMA 1 YA KIBA NI SAWA NA NGOMA 3 za DIAMOND jumlisha na watoto wake..na ndo maana utaona bado mtaani kuna upinzani wa DIAMOND vs KIBA au WCB vs KINGS though kuna watu kila kukicha wanaachia nyimbo...now asq ur self IF DIAMOND ATAKUWA ANATOA NGOMA MOJA KWA MWAKA KAMA KIBA AU KIBA AWE anaachia NGOMA ZAID YA 3 in short period of time unadhan HALI YA DIAMOND au WCB itakuwaje?...
Shukrani kwa kukubali post yangu mkuu ila isome kwa kuelewa.ME NADHANI WEWE UNGEPASWA KUNYAMAZA AU KUTOANDIKA ULICHOANDIKA...UNAIKUMBUKA POST YAKO???View attachment 1141733
Anaitwa IK wa nigeria. Mc maarufu Africa na pia mkuu jaribu kusoma maana ya hiyo comment na sio uwasilishwaji wake. Nimeiweka tu katika Hali isiyo ya facts Wala seriousness kutokana na mada ilivyokuja. Shukrani pia kwa alert mkuu ubarikiweMbona hii Avatar yako haiendani na aya uliyoyaandika mkuu yaani uyo mwenye iyo picha aisee nadhani uko aliko anaumia mno moyoni mwake!!
Ok one simple question maana atleast unakuja na hoja siyo hao watoto wanaokurupuka..kwanza umeelewa mantiki ya hii post yangu?...thats one, ya pili kama kiba hana legacy wala hana chochote kwenye hii industry why hao ROCKSTAR na SONY MUSIC wamemsign?..achana na clouds coz we know ambacho clouds amekuwa akikifanya kwenye bongofleva industry tangu mwanzoShukrani kwa kukubali post yangu mkuu ila isome kwa kuelewa.
Mimi nimekuzwa na bongo flava kwa kiasi kikubwa hivyo Ni muziki ninaoulewa. Comment yangu ilizungumzia upande wa WCB na sio kiba. Huwa nazungumza bila mahaba na huu ndio ukweli mpya nakupa.
KIBA HAJAWAHI KUWA KING WA BONGO FLAVA . Kiba alikuwa Ni muendelezo wa bongo flava ya mapenzi aliyoileta zaid MB DOG, Kipindi Kiba anavuma kulikuwa na marlaw pia ambaye alimuhenyesha vibaya Sana yaani sio kwenye countdown za media station, tuzo Wala power of vocals. Kiba ana sauti nzuri lakini sio powerful Kama ya marlaw ila showbiz ya clouds na rock star ndio zikamuangukia kiba.
Kiba hana legacy Wala hajawahi kuvunja records. Muangalie kiba wa kabla na baada ya Rockstar utaelewa. Kama una uwezo wa kuelewa lakini
Bt KIBA kuitwa KING either wa BONGOFLAVOUR au wa nn n jina tu hebu nambie lini DIAMOND aliwahi kuwa SIMBA.Shukrani kwa kukubali post yangu mkuu ila isome kwa kuelewa.
Mimi nimekuzwa na bongo flava kwa kiasi kikubwa hivyo Ni muziki ninaoulewa. Comment yangu ilizungumzia upande wa WCB na sio kiba. Huwa nazungumza bila mahaba na huu ndio ukweli mpya nakupa.
KIBA HAJAWAHI KUWA KING WA BONGO FLAVA . Kiba alikuwa Ni muendelezo wa bongo flava ya mapenzi aliyoileta zaid MB DOG, Kipindi Kiba anavuma kulikuwa na marlaw pia ambaye alimuhenyesha vibaya Sana yaani sio kwenye countdown za media station, tuzo Wala power of vocals. Kiba ana sauti nzuri lakini sio powerful Kama ya marlaw ila showbiz ya clouds na rock star ndio zikamuangukia kiba.
Kiba hana legacy Wala hajawahi kuvunja records. Muangalie kiba wa kabla na baada ya Rockstar utaelewa. Kama una uwezo wa kuelewa lakini