Usichofahamu ni kwamba hata alipofika King wako ALIKIBA ni matokeo ya watu kumshindanisha na Diamond kipindi yupo chini kimziki..Napitia comment zenu hapa naona jinsi mlivyochomwa nazidi kuelewa namna KIBA anavyowatesa hahahaaaa...upuuzi wote wa comments zenu naujibu kwa hii comment moja...hii comment ni mjumuisho wa upuuzi wenu wote mlokoment...akili zenu na alotengua ubunge wa lissu zinafanana asa sisi akina prof ASSAD hatuwez jibu kila upuuz hahahahaaa..
Utakuwa shabiki wa Nkana FCMwaka jana NEDY hajachukua tuzo na NANDY?..au kumbukumbu zinanidanganya
Kuwa serious naweAlichoandika kina uhalisia wa 0.0000001%
Umejitutumuuuuua mwenyewe ndo umeona mbonge wa mpoint umeandika...asa kama UBONGO wangu no una tatizo afu unasema TATIZO siyo langu ni la UBONGO WANGU kha!!..shikamoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] baada yapo ukichoandika sasa had ukielewe mwaka.Yaani huyu mtoa mada sijawakuona hata siku moja kaongea point inaonekana tatizo si lake Ni la ubongo wake ila dada yangu Leo mtoa mada katoa kichekesho Cha mwaka kwa keep.
Hata ukimu underrate ukweli unabaki moyoni mwako..so hatushangai.Apambane naye kivipi hahahaha bwege kweli kiba level yake ni lavalava sio diamond wala harmonize
Sawa unaejielewa ambae unakoment kwenye post ya asiyejielewa.Hajielewi
Coment yenye akili ipo moja tu aliandika EYCE wengine wote wanaleta taarabu.Hiyo mijicomment huko juu mtoa mada now yupo ICU na kiba100 chake[emoji1378][emoji1378][emoji1378]
Maboya tu hao unadhani nawahofia?..nawageuza nnavyotaka kunguni mwitu hao.Ngona waje wakuone hapa
We wa LIBOLO.Utakuwa shabiki wa Nkana FC
Anhaaa unazungumzia sokooooo?..nazungumzia uimbaji..after then ni wasanii wangap wameshindanishwa na bw mdomo?..why kwa ali suala limekuwa zito?..kupambana na natural talent ni kaz mzee hizo mboyoyo nyingine weka mbal halafu Ali alikuwepo kwenye game kabla ya huyo mnaetaka kumpa u Mungu mtu wa industry vp alikuwa anapambanishwa na MKWEO?Usichofahamu ni kwamba hata alipofika King wako ALIKIBA ni matokeo ya watu kumshindanisha na Diamond kipindi yupo chini kimziki..
Sio kila comment iliyo-against na wewe ni ya shabiki wa Diamond kiufupi watu wanapenda jitihada na mpango kazi wa Diamond.
Mfano mimi napenda HIPHOP ila Diamond nakubali sana strategies zake kuteka soko na kupenya kimataifa na ukizingitia ana shule ya kawaida sana he deserves respect
Umetoa boko...diamond na live band ni TATIZO LILILOKOSA TIBA.Ukweli mimi binafsi sikuwahi kumpenda wala kumshabikia Diamond ila niliposhuhudia akipiga show live niligundua huyu ni zaidi ya msanii, hivyo ukimlinganisha na Kiba hawaendani kabisa