Kupambana na Kiba "The King" ni ngumu na gharama sana

Kupambana na Kiba "The King" ni ngumu na gharama sana

Ukweli mimi binafsi sikuwahi kumpenda wala kumshabikia Diamond ila niliposhuhudia akipiga show live niligundua huyu ni zaidi ya msanii, hivyo ukimlinganisha na Kiba hawaendani kabisa
 
Napitia comment zenu hapa naona jinsi mlivyochomwa nazidi kuelewa namna KIBA anavyowatesa hahahaaaa...upuuzi wote wa comments zenu naujibu kwa hii comment moja...hii comment ni mjumuisho wa upuuzi wenu wote mlokoment...akili zenu na alotengua ubunge wa lissu zinafanana asa sisi akina prof ASSAD hatuwez jibu kila upuuz hahahahaaa..
Usichofahamu ni kwamba hata alipofika King wako ALIKIBA ni matokeo ya watu kumshindanisha na Diamond kipindi yupo chini kimziki..
Sio kila comment iliyo-against na wewe ni ya shabiki wa Diamond kiufupi watu wanapenda jitihada na mpango kazi wa Diamond.
Mfano mimi napenda HIPHOP ila Diamond nakubali sana strategies zake kuteka soko na kupenya kimataifa na ukizingitia ana shule ya kawaida sana he deserves respect
 
Yaani huyu mtoa mada sijawakuona hata siku moja kaongea point inaonekana tatizo si lake Ni la ubongo wake ila dada yangu Leo mtoa mada katoa kichekesho Cha mwaka kwa keep.
Umejitutumuuuuua mwenyewe ndo umeona mbonge wa mpoint umeandika...asa kama UBONGO wangu no una tatizo afu unasema TATIZO siyo langu ni la UBONGO WANGU kha!!..shikamoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] baada yapo ukichoandika sasa had ukielewe mwaka.
 
Usichofahamu ni kwamba hata alipofika King wako ALIKIBA ni matokeo ya watu kumshindanisha na Diamond kipindi yupo chini kimziki..
Sio kila comment iliyo-against na wewe ni ya shabiki wa Diamond kiufupi watu wanapenda jitihada na mpango kazi wa Diamond.
Mfano mimi napenda HIPHOP ila Diamond nakubali sana strategies zake kuteka soko na kupenya kimataifa na ukizingitia ana shule ya kawaida sana he deserves respect
Anhaaa unazungumzia sokooooo?..nazungumzia uimbaji..after then ni wasanii wangap wameshindanishwa na bw mdomo?..why kwa ali suala limekuwa zito?..kupambana na natural talent ni kaz mzee hizo mboyoyo nyingine weka mbal halafu Ali alikuwepo kwenye game kabla ya huyo mnaetaka kumpa u Mungu mtu wa industry vp alikuwa anapambanishwa na MKWEO?
 
Ukweli mimi binafsi sikuwahi kumpenda wala kumshabikia Diamond ila niliposhuhudia akipiga show live niligundua huyu ni zaidi ya msanii, hivyo ukimlinganisha na Kiba hawaendani kabisa
Umetoa boko...diamond na live band ni TATIZO LILILOKOSA TIBA.
 
Back
Top Bottom