Uhalifu hauna msamaha wala kusingizio. Haipo sababu inayoweza kuuhalalisha. Uhalifu utabakia kuwa hivyo bila kujali ni nani afanyaye uhalifu huo.
"Kumwua mtu kwa makusudi hakukubaliki."
Ni muhimu kuwakemea kwa nguvu zote ikiwamo kuwachukulia hatua kali polisi wauwao watuhumiwa kwa makusudi kinyume cha sheria.
Kuwekeza nguvu za kutosha katika kuwaadibisha wahalifu wote bila kujali majina yao au hata vyeo vyao, kunapaswa kuwa ndiyo mwelekeo wetu.
Shime waungwana haya huwa hayaji kama mvua.
"Mwendo na ukawe kukemea vikali na kupigania uwajibikaji kwa vitendo."
Tuungane kuupinga uhalifu, yakiwamo ya "uharamia wa polisi" na "mauaji yao kinyume cha sheria."
Beberu akiyaita "police brutality" and "extra judicial killings."
NInakazia: Uhalifu haukubaliki.
"Kumwua mtu kwa makusudi hakukubaliki."
Ni muhimu kuwakemea kwa nguvu zote ikiwamo kuwachukulia hatua kali polisi wauwao watuhumiwa kwa makusudi kinyume cha sheria.
Kuwekeza nguvu za kutosha katika kuwaadibisha wahalifu wote bila kujali majina yao au hata vyeo vyao, kunapaswa kuwa ndiyo mwelekeo wetu.
Shime waungwana haya huwa hayaji kama mvua.
"Mwendo na ukawe kukemea vikali na kupigania uwajibikaji kwa vitendo."
Tuungane kuupinga uhalifu, yakiwamo ya "uharamia wa polisi" na "mauaji yao kinyume cha sheria."
Beberu akiyaita "police brutality" and "extra judicial killings."
NInakazia: Uhalifu haukubaliki.