Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

Siyo kweli kuwa maaskali wote ni waajiriwa wa CCM,huwa ni stress za maisha ndo zinawasumbua dhidi ya hii Serikali dhalimu hivo mtu yeyote akikatiza mbele yao najua jibu unalo.

Huwezi leta utani mbele ya mtu mwenye hasira.

Fikiria asikari polisi yeyote yule ambaye hana nyota anafanya hiyo kazi kama kibarua kwa miaka 12 bila kuwekewa pesheni kama walivyo wafanyakazi wengine.

Ndo tatzo linalowatesa hawa ndgu zetu, tuwaomee huruma.

Na ukifungua mdomo kwa hili jambo adhabu Kali sana zitakuandama na hata kukosa promotion zingine.
TUWAOMBEE
 
Aimen 🙏
 
Samahan kukwambia iko miamba enzi zangu nikiwa service, ilipotea kwa hewa na haijawahi kukamatika mpaka leo. Si wote wanakamatwa kuna manguli
Japo hao wako wachache sana
 
Njia nyingine kwa mtu anayehisi anawindwa na hao wahuni, ni kuhakikisha anakula vyakula ambavyo vinaweza kutengeneza bomu la nyuklia ndani ya tumbo!

Yaani kila siku ahakikishe vyakula kama maharage, mayai ya kuchemsha, mahindi ya kuchemsha, mtindi, nk. Halafu hao wahuni wakimteka, akubali tu kuingia kwenye gari lao. Gari likiondoka tu, alipue sasa hilo bomu 💨 halafu aone watakavyo poteana!
 
Swadakta
 
Tumefika huku?! Inasikitisha na inaumiza sana
 
Sahivi kila mmiliki smartphone anasema kuna cruiser inamfatilia kwa nyuma
 
Samahan kukwambia iko miamba enzi zangu nikiwa service, ilipotea kwa hewa na haijawahi kukamatika mpaka leo. Si wote wanakamatwa kuna manguli
Japo hao wako wachache sana
nakubali nguli 👊💪
 
Kuna watu kukamatwa wanajitakia,mtu unajua unatafutwa halafu unalala nyumba ile ile ya kila siku lazima udakwe.Ukijua unatafutwa badilisha nyumba ya kulala,mtaaa hadi sehemu usilale sehemu 1 zaidi ya siku 1.
 
Dawa ni kuweka kidumu cha petrol home,Wakija watu usiku na gari bila plate number halieleweki,mwagia wese tia kiberiti
 
Naunga mkono hoja hakuna aliye salama
 
kutii ami ni kukitii kifo ambacho ukitii utakufa usipotii utakufa sas bora ufe ukipambana kujiokoa mait inaez bak ikazikwa ht na ndugu zko kuliko kua kondoo ukazkwe na site au ukaliwe na wanyama
 
Siku viongozi wa dini wakiona hili ni tatizo kubwa na wakajitokeza kwa pamoja (mfano Baraza la Maaskofu Tanzania) wakaitisha press kwa pamoja na wanakasema hili ni tatizo, au baraza la maulamaa wakasimama kwa pamoja nchi nzima wakaitisha press wakasema hili ni tatizo, pamoja na wale wengine wa katika umoja wao, Mambo haya yataleta matokeo chanya sana kwenye jambo hili.
Ninachokiona mm kwa sasa, viongozi wa dini wameamua kuendelea na shughuli zao tu, Mambo haya wanayasemea kwa asilimia moja kati ya mia kwenye mikusanyiko yao.
Hawana haja ya kukutana na Serikali faragha, watoe utaratibu na wawahimize waumini wao kujitetea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…