Kupanda Bei kwa Bidhaa za Azam Kusababisha Maandamano kama ya Misri?

Kupanda Bei kwa Bidhaa za Azam Kusababisha Maandamano kama ya Misri?

magistergtz

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
282
Reaction score
56
Bei za bidhaa za Azam kama maji, unga na ngano zimepaaa!
Ukizingatia Azam ni mzalishaji mkubwa wa vyakula na vinywaji laini hapa nchini, kupanda kwa bidhaa zake kutaathiri sana maisha ya walala hoi.
Je, hii inaweza kuwachukiza wananchi kiasi cha kuanzisha maandamano dhidi ya kupanda kwa gharama za maisha kama ilivotokea Misri au Algeria?
 
Watanzania huwa hawachukii vitu vya namna hiyo, watachukia na kuandamana pale bei itakapo shuka!
 
Hakuna maandamano yatakayoanzishwa na raia, msisahau uoga uliotawala wananchi wetu, hata kilo moja ya unga ikiuzwa Sh.20,000/- watu watalalamika tu halafu basi.
 
darasa la 7 wanaleta tabu sana humu wakishajua tu kusurf net muda wote nikuleta mada za hovyo hovyo

Dalili za kutaka ku nya hizi? Eti! Umebanwa na nnya nini? Ina maana wewe huoni tatizo hili linalokabili taifa, kila kitu kimepanda kwa sh 200 kabla ya budget!, maandamano lazima safari hiii.
 
darasa la 7 wanaleta tabu sana humu wakishajua tu kusurf net muda wote nikuleta mada za hovyo hovyo
Mkuu pamoja na madigree yako kama yale ya akina Dr.Dr.Dr.Dr Magamba kama huwezi kuijadili mada na badala yake unajadili personalities basi wewe in Ovyo Ovyo Ovyo Ovyooooooooo kulikoi darasa la 7
 
sasa nani anakula hivyo 'vyakula' laini ulivyosema Azam anavizalisha?

Mimi sili vyakula laini, walaji wa vyakula 'laini' ndo wataadhirika.......na unawajua ni akina nani??!!!! Hahahahahaaa!!!
 
sasa nani anakula hivyo 'vyakula' laini ulivyosema Azam anavizalisha?

Mimi sili vyakula laini, walaji wa vyakula 'laini' ndo wataadhirika.......na unawajua ni akina nani??!!!! Hahahahahaaa!!!
Mihogo.......maji ya kisima....machungwa fresh.....life goez on.......hakuna kemikAli........hahahaha
 
darasa la 7 wanaleta tabu sana humu wakishajua tu kusurf net muda wote nikuleta mada za hovyo hovyo


Wewe mwenye elimu mbona ndo unaonekana hoovyoo, unaleta dharau hata hujui status ya mtu kielimu. Lete shule yako basi tukuchambue, acha dharau!
 
Mie ile Azam tropical mix siachi hata wauze elf kumi
 
sasa nani anakula hivyo 'vyakula' laini ulivyosema Azam anavizalisha?

Mimi sili vyakula laini, walaji wa vyakula 'laini' ndo wataadhirika.......na unawajua ni akina nani??!!!! Hahahahahaaa!!!

Masaburi na watoa tg
 
Hahaha! You guys, we need serious thread, Tanzania hatuwezi kuwa na maandamano kama ya Misri kwasababu Azam amepandisha bei ya product zake. Kumbukeni kuwa viwada vidogvidogo vya kusaga vipo tandale vinatosha kulisha dar bila tatizo
 
Back
Top Bottom