Kupanda kwa bei ya mafuta kumevuruga biashara yetu ya mbogamboga

Kupanda kwa bei ya mafuta kumevuruga biashara yetu ya mbogamboga

Mimi ni mkulima pia mambo yamekua magumu upande wa umwagiliaji hasa bustani na zinataka maji kwa kiasi kikubwa !!
Ila hapa kama kuna mtu pia anaweza kutufungua akili atueleze hivi hakuna water pump zinazotumia nguvu ya jua ?

Nimejaribu kutumia zile money maker pump kukanyaga kwa miguu ila mashamba ni makubwa asee ! Na mtu anachoka sana!
Kuna kampuni fulani inatoa tena hadi kwa mkopo. Ngoja niikimbuke nikupe contacts zao
 
Daah pole sana aisee [emoji80] unanikumbusha kitu kwenye biashara yangu
 
Mimi ni mkulima pia mambo yamekua magumu upande wa umwagiliaji hasa bustani na zinataka maji kwa kiasi kikubwa !!
Ila hapa kama kuna mtu pia anaweza kutufungua akili atueleze hivi hakuna water pump zinazotumia nguvu ya jua ?

Nimejaribu kutumia zile money maker pump kukanyaga kwa miguu ila mashamba ni makubwa asee ! Na mtu anachoka sana!
Habari mkuu, hizo pump za money maker zinapatikana vipi na gharama yake ipoje mkuu?
 
Habari mkuu, hizo pump za money maker zinapatikana vipi na gharama yake ipoje mkuu?
Niliagiza Dar kipindi kabla lile soko la shimoni kuungua, kwa sasa sina direction mkuu!! Ila hakuna kinachoshindikana kwa Dar!
 
N

Niliagiza Dar kipindi kabla lile soko la shimoni kuungua , kwa sasa sina direction mkuu !! Ila hakuna kinachoshindikana kwa Dar !
Asante boss, pump uliyonunua ilikuwa na uwezo wa kumwagilia ukubwa gani, kwa muda gani na ulinunua bei gani kwa wakati huo?
 
Back
Top Bottom