Na wewe acha kuuliza maswali ya kipumbavu na kipunguani..
Subiria Bei itatangazwa tarehe 8/8 .
Kwa hiyo serikali inayowaambia watu Bei itashuka hawaelewi ila wewe ndezi ndio unaelewa au? Ushaambiwa ruzuku itawakwa unakomaa na upuuzi ukute hata shamba huna.