Kupanda kwa gharama za maisha, wabunge mmetufikisha hapa!

Kupanda kwa gharama za maisha, wabunge mmetufikisha hapa!

Swahili AI

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2016
Posts
10,174
Reaction score
89,364
Mbunge anapewa mafuta kwa ujazo, hajawahi nunua kwa fedha yake, maposho posho kibao. Halipi kodi, hakuna performance rating akiwa anawahudumia wananchi.

Sasa ni wakati gani atahisi[feel] vile mwananchi wa kawaida anavyohisi ukali wa maisha?
 
Mbunge anapewa mafuta kwa ujazo, hajawahi nunua kwa fedha yake, maposho posho kibao. Halipi kodi, hakuna performance rating akiwa anawahudumia wananchi.

Sasa ni wakati gani atahisi[feel] vile mwananchi wa kawaida anavyohisi ukali wa maisha?
Hatuna Wabunge tuna genge la Wana CCM lililokua limeandaliwa kumuongezea muda yule nanihii
 
Mm lawama nazitupa kwa wananchi wenyewe. Upoyoyo na ukondoo wa wananchi ndiyo umetufikisha hapa. Watawala hawawaogopi wananchi.

Wananchi wanamjadili zaidi mambo ya kijinga kuliko Mambo ya msingi. Wako tayari kuandamana kudai:

1. Wimbo "Nyege nyege" wa Diamond usifungiwe na basata

2. Manara asifungiwe na TFF kujihusisha na mpira.

3. Pambano la Mandonga na mpinzani wake liirudiwe.

Lakini mambo ya msingi wanayapa kisogo

Wananchi wa nchi hii ni marehemu wanaotembea.
 
Mm lawama nazitupa kwa wananchi wenyewe. Upoyoyo na ukondoo wa wananchi ndiyo umetufikisha hapa. Watawala hawawaogopi wananchi.

Wananchi wanamjadili zaidi mambo ya kijinga kuliko Mambo ya msingi. Wako tayari kuandamana kudai;:
1. Wimbo "Nyege nyege" wa Diamond usifungiwe na basata
2. Manara asifungiwe na TFF kujihusisha na mpira.
3. Pambano la Mandonga na mpinzani wake liirudiwe.

Lkn mambo ya msingi wanayapa kisogo

Wananchi wa nchi hii ni marehemu wanaotembea.
mfano mojawapo kama lipi ya muhimu baelezee baelewe
 
mfano mojawapo kama lipi ya muhimu baelezee baelewe
Walipaswa kuongelea kuondopewa kws Tozo, kwasabbb tunalipa kodi. Tozo ya nn?

Walipaswa kuongelea serikali kuongezea ruzuku kwenye mafuta ili yapungue bei.

Walipaswa kuongelea mchakato wa uandishi wa katiba bora mpya ufanyikeje? Maana tangu waziri alipozindua mjadala wa katiba mpya watu kimyaaa utadhani imepatikana.
 
Na kikokotoo hakiwahusu yaani. Wanatutungia sisi tu.

Anayejua siri ya kwa nini wanawapangia wastaafu mafao yao, mbaya zaidi kwa kupunguza badala ya kuongeza atuelimishe tafadhali.
 
N
Uliozinduliwa ni MJADALA kama nilivyoandika. Siyo mchakato
Nani kazindua na lini huo uzinduzi ulifanyika na je uzinduzi ulihusu KATIBA HII TUNAYOPAMBANIA #katibampyanisasa HUKU TUNAPEWA VIKWAZO au ni katiba mpya ya kukandamiza zaidi tukose pumzi kabisa afu tukufe?
 
N

Nani kazindua na lini huo uzinduzi ulifanyika na je uzinduzi ulihusu KATIBA HII TUNAYOPAMBANIA #katibampyanisasa HUKU TUNAPEWA VIKWAZO au ni katiba mpya ya kukandamiza zaidi tukose pumzi kabisa afu tukufe?
Amezindua waziri wa katiba na sheria Dr. Ndumbaro. Kama nakumbuka vema kazindulia kwenye chuo kikuu cha Mwalimu Nyerere
 
Back
Top Bottom