MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
hii ni zile mbwembwe za ccm kama tunavozijua zinataka hazitaki mpaka ccm kuingia kwenye mchakato ni baada ya kuona hakuna pa kutokea hivyoooo!! KATIBA MPYA YA WANANCHI NI LAZIMAAmezindua waziri wa katiba na sheria Dr. Ndumbaro. Kama nakumbuka vema kazindulia kwenye chuo kikuu cha Mwalimu Nyerere