Kwa tunaoishi masaki kawaida sanaa mkuu, kuna wakinga, wachaga , wahehe, wahaya.... na sio kwamba masaki kote ni majumba makubwa makubwaa, zingine za kawaida sanaaaa , nandomaana nakushangaa! Kuishi masaki sio kumaliza mwendo ni huzuni kwakweli ! Nakutakia uchawa mwema bye.