Kupandikiza Uume Hospitali ya Benjamin Mkapa ni Tsh. Milioni 6 hadi 10

wangefanya angalau laki 1.
milioni 6 kubwa sana
Aliyekuambia upige punyeto ujanani Ni Nani. Endelea kuibiwa na madereva wa transit wanaouza mkongo.
Hiyo Bei iongezwe kidogo maana wengi walio na Hilo tatizo Ni watu wenye uwezo..
 
Uke na unapandikizwa??
Uke (zikiwa NyingΓ­ zinatamkwaje?!) Zina matatizo makubwa sana sana!!!
nyuke hazipandikizwi Ila wanapunguza kipenyo ili ziwe na mnato na kuwekewa filter kupunguza majimaji kwa mijimama.
 
Inategemea na tatizo lako, limeanza na nini mpaka hali ikukute hivyo, vyanzo vya matatizo hayo vipo vingi.
 
Aliyekuambia upige punyeto ujanani Ni Nani. Endelea kuibiwa na madereva wa transit wanaouza mkongo.
Hiyo Bei iongezwe kidogo maana wengi walio na Hilo tatizo Ni watu wenye uwezo..
Mungu aendelee kunipa uwezo aisse sikujua kama mimi ni tajiriπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hivi Kuna uwezekano wa kuwa nazo 2 kwa pamoja?

Namaanisha niwe na hii ya sili na niwekewe ingine pembeni..
 
Waje na program pia ya kupunguza ukubwa wa papuchi 😁😁😁 itasaidia sana hata wale wanaokwenda uani kutafuta udogo wa njia πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mungu aendelee kunipa uwezo aisse sikujua kama mimi ni tajiriπŸ˜‚πŸ˜‚
Usinivunje mbavuπŸ˜‚
Hakuna kitu kinaudhi na kuaibisha Kama kuchukua mtoto mzuri mwenye tako la nguvu, ukampeleka hoteli ya gharama , ukamlisha na kumnywesha kumbe nguvu za kiume Ni tia maji tia maji.
Utaondoka mnyooonge hasa Kama binti atakua amechukia na kutoa maneno ya kejeli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…