Kupandishwa Cheo Kazini baada ya kutokutwa na Jinai kwenye Utumishi wa Umma

Kupandishwa Cheo Kazini baada ya kutokutwa na Jinai kwenye Utumishi wa Umma

Dr Salla

Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
16
Reaction score
22
Wadau ninaomba kufahamishwa kuwa ni kifungu gani cha sheria katika Sheria ya Utumishi wa Umma ambacho kinatamka kwamba mtumishi wa umma aliyetuhumiwa kwa makosa ya jinai akikutwa hana hatia arejeshwe kazini na apewe stahiki zaje zote ikiwemo na kupandishwa cheo?
 
Wadau ninaomba kufahamishwa kuwa ni kifungu gani cha sheria katika Sheria ya Utumishi wa Umma ambacho kinatamka kwamba mtumishi wa umma aliyetuhumiwa kwa makosa ya jinai akikutwa hana hatia arejeshwe kazini na apewe stahiki zaje zote ikiwemo na kupandishwa cheo?
Soma Regulation 50-59 ya THE PUBLIC SERVICE REGULATIONS OF 2022,pamoja na section 33 The Public Service Act [CAP. 298 R.E 2019]
 
Wadau ninaomba kufahamishwa kuwa ni kifungu gani cha sheria katika Sheria ya Utumishi wa Umma ambacho kinatamka kwamba mtumishi wa umma aliyetuhumiwa kwa makosa ya jinai akikutwa hana hatia arejeshwe kazini na apewe stahiki zaje zote ikiwemo na kupandishwa cheo?
-Regulation 38(6) na 39 THE PUBLIC SERVICE REGULATIONS OF 2022.
kama mtumishi wa umma alikuwa na criminal offense na katika kipindi chote cha proceedings mshahara au stahiki zake zilisitishwa huku taasisi husika ikisubiri maamuzi ya Mahakama,na Baada ya Maamuzi ya mahakama akaonekana hana hatia ninavyofahamu ni lazima stahiki zote zilizositishwa aweze kupatiwa .
-na kuhusu kupandishwa cheo; nafikiri kuna utaratibu ambao upo na kama yuko na sifa basi ana haki kama wafanyakazi wengine kupandishwa cheo kwani kuwa subjected katika criminal proceedings ambayo alionekana hana hatia haiwezi kumzuia yeye kupata haki ya kupandishwa cheo.
 
Back
Top Bottom