Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Motivesheni supika
 
Chief hivi nikiweka 5 million siwez fanikisha uhamisho wa wife.. ndo kwanza amepangiwa huko kijijini.. ila nataka nitumie nguvu ya pesa nimrudishe nilipo.. japo sio jijiji ila kwenye halmashauri ya mji
 
Ikawaje mkuu... ? Uliacha utumishi wa umma au ilikuwaje? Maama mimi wife na yeye kapata ualimu ... ni wa msingi sasa nawaza sana hapa sijui nifanyeje... nataka kutumia nguvu ya pesa sijui kama itawezekana
 
Kwanini Ukerewe nayo mnaiweka kwenye halmashauri DUME?
 
Umejijengea picha yako ya kijiji chako na vimaduka vyako unajiropokea
 
Mzungu hafanyi jambo bila manufaa, akitimiza lengo anasepa hawezi kuishi maisha yote ukimani.

Wamissionary tu ndio waliishi muda mrefu ila mazingira yao yalikamilika kila kitu hata ambacho hakipo kijijini wao walikuwa navyo
 
Ni ujinga tuu unakusumbua,Cha maana ulichofanya hapo mjini ni kipi? Kwa kuwa unaunga unga ndio maana uliomba kazi ya chini ya 800k Kwa mwezi.

Sasa wenye akili wanataka wapangiwe Vijijini maana ni fasta unakuwa Tajiri..

Harafu mlivyo mbumbumbu mnadhani Vijiji vya Leo ni sawa na vya zamani,Kwa taarifa yenu Vijijini karibu vyote vina umeme,Barabara na issue ya Maji Ruwasa wako kazini..

Ukiniuliza Mimi Vijiji vigumu labda ni vile ambavyo Kilimo,uvuvi na ufugaji havifanyiki..vyenye Hali ya ukame
 
Kwanza safi sana ndio mkome maana wakati Serikali inasema ikate tozo ya miamala na tozo ya mafuta Ili iimarishe Huduma za jamii Vijijini mlikuwa hamtaki mnapiga makelele sana huko Mjini..

Mlidhani mnaikomoa Serikali mkasahau kwamba mtaomba kazi zenu hizo ya ualimu,nursing,udaktari,utendaji wa Vijiji na kata,uafisa ugani ,Polisi na kazi zingine kama hizo..

Ni hivi hutaki kazi tena,uliomba Kwa vile huna jeuri ya kipato na itafanya tuu yaani hizi ni kelele za Sasa hivi ila utakuwa mwanakijiji saaafi kabisa..

Ni kama vile mtu anashabikia wafungwa kufanyishwa kazi za kikatili anasahau kwamba ipo siku unaweza kuwa mfungwa Kwa bahati mbaya au vinginevyo.
 
Mlivyo wajinga,Kwa taarifa yenu Serikali imepiga marufuku uhamisho ,hakuna kitu kama hicho Kwa Sasa..

Ajira zinazotolewa ni za kwenda ku cover shortage Kijijini uhame uende wapi?
 
Umeuliwa vipi wkt imekaa miaka mitano mtaani hujafanya maajabu yoyote, sema ulikuwa tayari umeshakufa kitaaluma na kifikra, shukuru umepata pa kuanzia tena.
Hata Mimi nashangaa,achilia mbali maajabu hana hata hicho kipato Cha 700k Kwa mwezi ambacho CO anapata
 
Jiunge na wanywa komoni wa Kijiji chako.
KUMBUKA.
Kuna elimu mtandao.Kwani upo Kijiji gani mkuu?
 
Niko halmashauri ya vijijini kwa miaka 13 sasa ila nachowaza ni kuhama tu.

Watu wengi wanaoniambiaga "usihame kijijini Kuna fursa" huwa nawajibu "Njoo wewe huku mi nije mjini" naonaga hukaa kimyaa na hawanijibu.

#YNWA
Inategemea na hiyo Halmashauri uliyoko ingekuwa vyema kuitaja maana Ukiwa Makete labda upande miti na ulime ngano tofauti na hapo ni msala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…