Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Asante sana mkuu, bahati mbaya cheti cha ndoa sina... itabidi ndani ya huu mwaka nikipate harakati zikifika mambo yawe straight forwardAcha aka report mkuu walau mwaka kupata barua ya uthubitisho Cheti Cha ndoa Kiko???????? Unaweza piganisha unaumwa unahitaji support yake now huduma inafanyika online
Akimegwa atajua mwenyewe... K si yake bhana... mbaya ni kujua tu mkuuu...Lazima umegewe na Afisa Elimu,Mwalimu Mkuu/Mkuu wa shule ,DED nk 🤣🤣🤣🤣
Unaweza pata uhamisho.kama. una Ndoa lakini ni uhamisho wa kumsogeza sehemu inayofikika kirahisi Kwa sababu ataambiwa tuu mjini nafasi hakuna ila ipo jirani na mjini chagua na hongo utatoa.
Zamani sana 2003 huko sijui hta panafananaje kwa sasaUmewahi kufika kiongozi?
Nilizaliwa kijijini, nimesoma primary kijijini, sekondari na chuo ndio nilisoma mjini.Ulishawahi kufika kijijini wewe?
Miuu kukaa kijijini hakuzuii kufata soko mjini, kwa mfano mimi nilikua natoa mbuzi Malawi, wanafika kijijini, ninanenepesha na wengine walikua wanazaa, na nilikua nikiwauzia wilayani.Purchasing power ya watu wa kijijini ni ndogo sana.wananchi wamechoka hawana hela utawauzia nini wanunue? Hta hayo maziwa utamuuzia nani ikiwa kila mji una ng'ombe zake.
Nimewahi Mkuu. Siropoki tu.Umeshawah kwenda huko kweli au unaropoka tu hapa!
Ongezea Kwimba tafadhaliUpo sahihi kabisaaa
Wale wa Halmashauri za Wilaya zile ngumuuu kama
1. Ukerewe
2. Momba
3. Mpimbwe
4. Mlele
5. Tanganyika
Watakuelewa vizuri sanaaa. Ukiwa halmashauri hizi Kutoboa ki exporure, academic na financially ni taabu sanaaaaaa.
Raia wa humo huwaza kulima na kufuga tu.
#YNWA
Mkuu sio rahisi kihivyo huko ndio unaweza Kuta mtu anagawa maziwa Hana kwa kuyapeleka ni rahisi sana kulizungumzia kama hujafika eneo la mradiKijijini fursa nyingi sana, hasa kwenye sekta ya ardhi, kilimo, ufugaji (ng'ombe wa maziwa, mbuzi...), usafirishaji, uvuvi (kwa baadhi ya maeneo), maji, na viwanda vidogo (kama kufyatua tofali, kutengeneza makochi, kushona nguo...).
Pia kijijini wana jamii wanakuwa na ushirikiano mkubwa sana kwa wataalamu wa afya, jambo linalokupatia faraja kubwa ambayo ina thamani kubwa isiyoweza kupimwa kwa kipato cha pesa.
Kijijini pia unapata muda wa kuwa karibu na familia yako kama unayo.
Kijijini unaweza kupata nyumba ya serikali bure, au ukapata nyumba nzuri kwa gharama nafuu, hivyo kusave something.
In short kijijini fursa ni nyingi kuliko mjini kwa watu wenye mshahara unaolingana, na kwa mwenye akili inachangamka zaidi nje ya your comfort zone kuliko kudumaa mjini na vijiwe (kufanya fani moja pekee).
Mimi ninakubaliana na wewe, inategemea na kijiji husika, hakuna kukariri, ukifika kijijini ndio unatakiwa kuchangamsha akili.Mkuu sio rahisi kihivyo huko ndio unaweza Kuta mtu anagawa maziwa Hana kwa kuyapeleka ni rahisi sana kulizungumzia kama hujafika eneo la mradi
[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581]Umeuliwa vipi wkt imekaa miaka mitano mtaani hujafanya maajabu yoyote, sema ulikuwa tayari umeshakufa kitaaluma na kifikra, shukuru umepata pa kuanzia tena.
Kama sehemu kuna furusa lakini hakuna umeme bora kuishi sehemu hiyo umeme utanunua mashineKatika dunia ya utandawazi kuishi mahali pasipo na umeme wala mtandao kisa kilimo na nyumba za bure zisizo na umeme ni ufala.
Sitakaa eneo la namna hii tena bora kufa masikini.
Wanasiasa wanakula bata kwenye ma-V8 hawakumbuki wenzao wa vijijini eti kisa hata mbuyu ulianza kama mchicha.
Unaweza kuishia kuwa mchicha kiboya
Watanzania mnachekesha sana tangu umetoka chuo uko nyumbani unakula ugali wa shikamoo uwezo wa kubuni kazi huna alafu unazalau kazi heti kijijini kubaya,tangu umetoka chuo umebuni kazi gani?Nikipata ajira huko ni mwaka tu au miwili nawabwagia kazi yao.
Serikali inachezea sana hatima za watu
Buni ajira yako kama uwezi kubali matokeo mfungwa hachagui gerezaHivi wewe umewahi Fanya kazi kijijini? Unavifahamu vijiji vya mkoa wa Simiyu au shinyanga? Huku wenyeji hawataki muona mgeni akifanikiwa uchawi Kila Kona tena hadi watumishi wanatumia ndumba hasa wenyeji wa huko unakuta Kijiji kina kaya 400 katika hizi kaya 97 ni za waganga wa kienyeji kaya 250 ni wachawi kaya zilizobaki ndo Zina ahueni umasikini ni WA kutupa halafu kuna mtu anasema vijijini kuna fursa ninawasi wasi utakuwa umetembelea vijiji vya DSM pekee! Kuna vijiji huku greda halijawahi fika kuna Barbara za ng'ombe tu usiombe upate dharula wakati wa masika utajuta.
mkuu kuna watu ni wavivu hata kuwe na fursa gani hawataki kufanya!Kijijini fursa nyingi sana, hasa kwenye sekta ya ardhi, kilimo, ufugaji (ng'ombe wa maziwa, mbuzi...), usafirishaji, uvuvi (kwa baadhi ya maeneo), maji, na viwanda vidogo (kama kufyatua tofali, kutengeneza makochi, kushona nguo...).
Pia kijijini wana jamii wanakuwa na ushirikiano mkubwa sana kwa wataalamu wa afya, jambo linalokupatia faraja kubwa ambayo ina thamani kubwa isiyoweza kupimwa kwa kipato cha pesa.
Kijijini pia unapata muda wa kuwa karibu na familia yako kama unayo.
Kijijini unaweza kupata nyumba ya serikali bure, au ukapata nyumba nzuri kwa gharama nafuu, hivyo kusave something.
In short kijijini fursa ni nyingi kuliko mjini kwa watu wenye mshahara unaolingana, na kwa mwenye akili inachangamka zaidi nje ya your comfort zone kuliko kudumaa mjini na vijiwe (kufanya fani moja pekee).
vijiji vingi wenyeji hawana exposure, wageni ndio wanaochangamsha maeneo mengi sanaZingekuwa nyingi hivyo wakijijini wangekuwa na maisha mazuri
tatizo la makete ni nini mkuu?Makete nimepiga jaramba pale, japo nilikuwa wilayani ila sina hamu nasitakubali kukaa vijijini tena
Uzuri kazi yangu sio lazima kubadilishana na mtu ili kuhama
Kijijini changamoto nyingine kubwa ni uloziMtumishi aliyeko vijijini huko kujiendeleza labda kulima na kufuga huko ila kwenye mambo ya kitaaluma inakuwa ndio mwisho wako.
Huwezi hata kujiendeleza kitaaluma kupitia evening classes maana hakuna vyuo, colleges wala VETA, vyote hivyo asilimia kubwa vipo vijijini.
Kupata ruhusa kwenda kusoma ni kwa mizengwe mingi maana unakuta watumishi wapo wachache.
Wale madaktari wanaotegemea vijiwe baada ya kazi, ukiwa vijijini kwishaaa.
Wewe ndio Daktari pekee zahanati ya kijijini huko, nani atakupa ruhusa ukasome?
NB: Mjini patabaki kuwa mjini tu.
Wewe mwenyewe huelewi ulichoandikaKijijini fursa nyingi sana, hasa kwenye sekta ya ardhi, kilimo, ufugaji (ng'ombe wa maziwa, mbuzi...), usafirishaji, uvuvi (kwa baadhi ya maeneo), maji, na viwanda vidogo (kama kufyatua tofali, kutengeneza makochi, kushona nguo...).
Pia kijijini wana jamii wanakuwa na ushirikiano mkubwa sana kwa wataalamu wa afya, jambo linalokupatia faraja kubwa ambayo ina thamani kubwa isiyoweza kupimwa kwa kipato cha pesa.
Kijijini pia unapata muda wa kuwa karibu na familia yako kama unayo.
Kijijini unaweza kupata nyumba ya serikali bure, au ukapata nyumba nzuri kwa gharama nafuu, hivyo kusave something.
In short kijijini fursa ni nyingi kuliko mjini kwa watu wenye mshahara unaolingana, na kwa mwenye akili inachangamka zaidi nje ya your comfort zone kuliko kudumaa mjini na vijiwe (kufanya fani moja pekee).