Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Acha aka report mkuu walau mwaka kupata barua ya uthubitisho Cheti Cha ndoa Kiko???????? Unaweza piganisha unaumwa unahitaji support yake now huduma inafanyika online
Asante sana mkuu, bahati mbaya cheti cha ndoa sina... itabidi ndani ya huu mwaka nikipate harakati zikifika mambo yawe straight forward
 
Akimegwa atajua mwenyewe... K si yake bhana... mbaya ni kujua tu mkuuu...

Anyway, kitajulikana tu ngoja mwaka upite
 
Ulishawahi kufika kijijini wewe?
Nilizaliwa kijijini, nimesoma primary kijijini, sekondari na chuo ndio nilisoma mjini.

Ajira ya kwanza nilifanya na Swedish Salvation Army, Dar_es_Salaam. Ajira ya pili nilifanya na Benki ya Damu kwa ufadhili wa CDC, ilikua Njombe (wakati huo bado Iringa), baadae nikaingia serikalini nikapangiwa wilayani, baada ya kuridhika na utendaji wangu wakanikabidhi kituo peripheral, kijijini hasa, mpakani.
 
Purchasing power ya watu wa kijijini ni ndogo sana.wananchi wamechoka hawana hela utawauzia nini wanunue? Hta hayo maziwa utamuuzia nani ikiwa kila mji una ng'ombe zake.
Miuu kukaa kijijini hakuzuii kufata soko mjini, kwa mfano mimi nilikua natoa mbuzi Malawi, wanafika kijijini, ninanenepesha na wengine walikua wanazaa, na nilikua nikiwauzia wilayani.

Lakini pia niliwahi kutoa bidhaa kijijini wilayani Kyela, na kuuza Ilembula na Makambako.
 
Ajira Mpya msitishwe Kuhusu Vijijini na watu wa Mjini , Vijijini Kwa Sasa Kila kitu uhakika kuanzia umeme Hadi Maji
 
Mkuu sio rahisi kihivyo huko ndio unaweza Kuta mtu anagawa maziwa Hana kwa kuyapeleka ni rahisi sana kulizungumzia kama hujafika eneo la mradi
 
Mkuu sio rahisi kihivyo huko ndio unaweza Kuta mtu anagawa maziwa Hana kwa kuyapeleka ni rahisi sana kulizungumzia kama hujafika eneo la mradi
Mimi ninakubaliana na wewe, inategemea na kijiji husika, hakuna kukariri, ukifika kijijini ndio unatakiwa kuchangamsha akili.

Hata hivyo ni kweli sio rahisi.

Tumeumizwa sana, ila mwisho wa siku faida ilionekana.
 
Umeuliwa vipi wkt imekaa miaka mitano mtaani hujafanya maajabu yoyote, sema ulikuwa tayari umeshakufa kitaaluma na kifikra, shukuru umepata pa kuanzia tena.
[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581]
 
Kama sehemu kuna furusa lakini hakuna umeme bora kuishi sehemu hiyo umeme utanunua mashine
 
Nikipata ajira huko ni mwaka tu au miwili nawabwagia kazi yao.

Serikali inachezea sana hatima za watu
Watanzania mnachekesha sana tangu umetoka chuo uko nyumbani unakula ugali wa shikamoo uwezo wa kubuni kazi huna alafu unazalau kazi heti kijijini kubaya,tangu umetoka chuo umebuni kazi gani?
 
Buni ajira yako kama uwezi kubali matokeo mfungwa hachagui gereza
 
mkuu kuna watu ni wavivu hata kuwe na fursa gani hawataki kufanya!

imagine mtu yupo kijijini, ardhi ina rutuba, kuna umeme, kuna mitandao ya simu inashika, kuna mazao ya chakula biashara (mchele, viazi, ngano, maharage, mahindi n.k), lakini bado mayai ya kula ananunua, kuku wa kula ananunua, mboga za majani ananunua, mahindi ananunua, maharage ananunua......

alafu analalama kijijini kugumu....... tanzania hii vijiji vigumu kabisa kabisa ni vichache,..... hasa vile vya maeneo ya nusu jangwa...... kwingine ni uvivu wetu tu
 
Kijijini changamoto nyingine kubwa ni ulozi
 
Wewe mwenyewe huelewi ulichoandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…