Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Hauko serious
 
We shoga kweli, hivi una shughuli kweli ya kufanya mzee? 🤣Au ajira ndo huu uchawa. Sikujua kumbe kuna watu huwa mnanifuatilia kiasi hichi humu 😀😀😀!
Unethical according to jf policy
 
Pia kujiendeleza kitaaluma ni kutafuta umaskini
 
Saiv unajishughulisha na Nini na ulikua mwalimu wa msingi au secondary
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nikipata ajira huko ni mwaka tu au miwili nawabwagia kazi yao.

Serikali inachezea sana hatima za watu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli wanachezea, yani watoto wao wakapate exposure ma nchi ya watu afu wewe wamekufungia kijijini usijue chochote chini ya jua kwa ajili ya nyumba walio kupangisha bure.

Zaid unakuta hapo kijijini kupanga nyumba nzima kwa mwezi ni 30k[emoji1544]
 
Hizi za kwako zinaitwa Fursa za kufikirika
 
Inaonekana wewe ulikuwa mvivu au hukuipenda kazi ya Ualimu.
Vutu unavyolalamikia ulikuwa utaratibu wa kawaida kabisa ila wewe unaona kama vike ulionewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…