Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Unawazia kustahafu, yaani niishi kwa kujitesa na tabu za vijijini eti nikisubiria uzeeni ndio niishi vizuri, vunja mifupa ingali meno ipo, kwa mijini huwa hawana akili ya kufatuta, nyie wa mijini huwa mnadharau sana... Unasema hayo na hapo upo mjini.
Kijijini kunakuzuia vipi kuvunja mifupa mbona watu kibao wanafanya kazi vijijini na wanaishi mijini maendeleo wanafanya mijini.
Kijiji hakikufungi kutimiza ndoto yako iwe bata,iwe kusoma,iwe kuwekeza mjini.
Enzi za kupanda punda baada ya kushuka kwenye treni hazipo siku hzi bodaboda wameunganishaa nchi
 
Kwamba unayajua zaidi maisha yangu kuliko mimi?

Acha ujuaji.

Kwa sasa sipo kijijini, ila niliishi miaka mitatu.
Kama uliishi miaka mitatu kwanini ulitoka na kuacha fursa za kijijini, nenda kakae... Pia we lofa sijakulazimisha ukubaliane na yangu, naongea ninachokijua.
 
Man nimetembea nchi hii sehem pasipo na network labda kwa sababu ya ishu ya population kampuni za simu zimeona hailipi.Hakuna kijiji Cha population zaidi ya watu 100 kikakosa mawasiliano inaweza isiwe ni 24hrs sababu usiku hakuna Sola na pia wapo bondeni lakini mchana wanapata network.
Serikali gani inayojenga minara
Unadhani umetembelea vijiji vyote, ila bado.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama uliishi miaka mitatu kwanini ulitoka na kuacha fursa za kijijini, nenda kakae... Pia we lofa sijakulazimisha ukubaliane na yangu, naongea ninachokijua.
Wewe ni nani hadi unipangie pa kukaa? Ulinisaidia ada?
 
Upo sahihi kaka, kwa mtu aliyetoka Mwanza mjini au Dar, umpeleke vijijini huyu baada ya miaka mitano mtamzika, vijijini unapata mshahara na pesa hujui unaitimia vipi hakuna sehemu ya kuspend, upo tu unapigwa vumbi na upepo mkali, hakuna pisi kali, hakuna kupiga pamba na mwendo wa kufukuzana na mbuzi na wanyama.....
Kama ni mjasiliamali pesa hazikosi kazi,unajenga zizi la kukusanyia wanyama toka kwa wanakijiji mmoja mmoja mwenye shida wakifika wa kutosha unawatia kwenye fuso mjini,ukitoka mjini unalijaza bidhaa za jumla unajaza kwenye nyumba yako kijijini unaanza wasambazia viduka vidogo vidogo vya vijijini huku unanua mazao na mifugo huku unalimisha kwa mnyororo huohuo kwa mwaka mzima.
Kijijini kwa asiye na asili ya ujasiliamali apamfai
 
Mapopoma yapo humu kuwalisha wenzao ujinga wakati wao wametulia mijini wakila kiepe yai, na maini roast, bila kusahau kusahau kula mbususu zenye quality...wajinga sana hawa kamanda.
Ila hapo kwenye mbususu zenye quality umeongea bonge la point mkuu 😀
 
Kama ni mjasiliamali pesa hazikosi kazi,unajenga zizi la kukusanyia wanyama toka kwa wanakijiji mmoja mmoja mwenye shida wakifika wa kutosha unawatia kwenye fuso mjini,ukitoka mjini unalijaza bidhaa za jumla unajaza kwenye nyumba yako kijijini unaanza wasambazia viduka vidogo vidogo vya vijijini huku unanua mazao na mifugo huku unalimisha kwa mnyororo huohuo kwa mwaka mzima.
Kijijini kwa asiye na asili ya ujasiliamali apamfai
Unajua figisu za kazini kuanzia kwa mkurugenzi mpaka kazini kwako, na huo muda utaupata wapi kwa mwalimu muda wote ni kuandaa sijui lesson😂😂😂
 
Kijijini fursa nyingi sana, hasa kwenye sekta ya ardhi, kilimo, ufugaji (ng'ombe wa maziwa, mbuzi...), usafirishaji, uvuvi (kwa baadhi ya maeneo), maji, na viwanda vidogo (kama kufyatua tofali, kutengeneza makochi, kushona nguo...).

Pia kijijini wana jamii wanakuwa na ushirikiano mkubwa sana kwa wataalamu wa afya, jambo linalokupatia faraja kubwa ambayo ina thamani kubwa isiyoweza kupimwa kwa kipato cha pesa.

Kijijini pia unapata muda wa kuwa karibu na familia yako kama unayo.

Kijijini unaweza kupata nyumba ya serikali bure, au ukapata nyumba nzuri kwa gharama nafuu, hivyo kusave something.

In short kijijini fursa ni nyingi kuliko mjini kwa watu wenye mshahara unaolingana, na kwa mwenye akili inachangamka zaidi nje ya your comfort zone kuliko kudumaa mjini na vijiwe (kufanya fani moja pekee).
Kumbuka kuna mambo ya kishikina na ukijitia mjanja ukawazid maendeleo wanakuloga
 
Vijijini huko watoto wa kichaga watumishi wametajirika sana kwa kufungua miradi mbalimbali
Sio kwa kufungua miradi sema kwa kula peza za watu pori na pia wamefunguliwa miradi na washamba wa vijijini wanaoshoboka na rangi... Nenda wewe mwanaume tuone kama utafungua hata mradi wa kuchakata kiepe yai.
 
Upo sahihi kabisaaa

Wale wa Halmashauri za Wilaya zile ngumuuu kama

1. Ukerewe
2. Momba
3. Mpimbwe
4. Mlele
5. Tanganyika

Watakuelewa vizuri sanaaa. Ukiwa halmashauri hizi Kutoboa ki exporure, academic na financially ni taabu sanaaaaaa.

Raia wa humo huwaza kulima na kufuga tu.

#YNWA
Yaani ile "Utabadirisha kada baada ya miaka mitano" Kama umejiendeleza kielimu kwa baadhi ya watumishi itabaki hadithi tu kwao😂😂
 
Back
Top Bottom