Kupanua tax base-makanisa, ministries, misikiti vihusike kulipa kodi

Kwamba mnataka ZAKA au fungu la kumi litozwe Kodi?

Ndipo mtajua kati ya Mungu na sirikali ya WANADAMU ipi yenye nguvu zaidi!!

Yesu alikwisha weka mstari kuwa, Vya kaisari mpeni kaisari, ya Mungu mpeni Mungu"
 
kuwe na nidhamu kwenye matumizi upo sahihi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…