Hata hizo taasisi zikilipa bado zitaishia mikononi mwa wachache kama huna nidhamu kwenye kidogo hata kikubwa kitakushinda tu kwanini 4% ya bajeti inatengwa kwenye anasa (sherehe, vitafunwa, samani za wakubwa, safari nk) huoni ni uzwazwa zaidi ya 600B zinatengwa kwenda kununua magari ya kifahari ya mwaka 2024 kama haitoshi wake za wastaafu wanalipwa nao kiinua mgongo ajabu kabisa.