Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Kama card ikiwa haina hela gari isiwake.. ๐๐๐๐Hizo ngoja nicheck kama nitazipata, Sijajua tu security level yake imekaaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama card ikiwa haina hela gari isiwake.. ๐๐๐๐Hizo ngoja nicheck kama nitazipata, Sijajua tu security level yake imekaaje?
hizi nzuri sana hasa ukikuta haitegemei umeme wa moja kwa moja kutoka kwenye battery.. kwamba hata uki disconnect kama hamjakatoa kenyewe mtashikwa tu, zile point zinakupeleka hadi 0 meter gari ilipo ๐๐Tracking device ndo mwisho wa matatizo. Una track hata ikitokea umeporwa gari
Dah hii hatari sana
Wazungu watatuchosha sana na Tech zao ๐๐๐Dah hii hatari sana
Hizi devices unauza tsh ngapi mkuu, mawasiliano kama bado zipoHata trackingi Devices ninazo Boss,
Zimebaki pieces 3 kwa sasa ila zote zimeshapata watu.
Tena zipo very unique in such a way anaweza asijue kama ni tracker.
View attachment 2109819
Hizi devices unauza tsh ngapi mkuu, mawasiliano kama bado zipo