Kupata ajira ni huruma au haki?

Kupata ajira ni huruma au haki?

Kaishakaiaja

New Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
1
Reaction score
2
Napenda kuuliza kupata ajira ni huruma au haki?

Limenitokea leo kuna nafasi ya kazi itakuwa wazi soon,mmoja wa hiyo kazi ambae kisifa analingana na Mimi kaajiriwa serikalini

Nikasema isiwe kesi, ngoja nimpandie mwajiri wake niombe hiyo kazi

Kumbe alikuwa hajampa taarifa bosi wake Kama kaajiriwa, bosi kamtafuta na kumuuliza ,si ndo aakaambiwa Mimi nimeomba kazi tayari kwa kuwa yeye anaondoka

Huyo mtu kanimind mbaya aisee

Mpaka nimeuliza kazi ni haki au huruma?
 
Napenda kuuliza,kupata ajira ni huruma au haki?

Limenitokea leo,kuna nafasi ya kazi itakuwa wazi soon,mmoja wa hiyo kazi ambae kisifa analingana na Mimi kaajiriwa serikalini,

Nikasema isiwe kesi, ngoja nimpandie mwajiri wake niombe hiyo kazi,

Kumbe ,alikuwa hajampa taarifa bosi wake Kama kaajiriwa, bosi kamtafuta na kumuuliza ,si ndo aakaambiwa Mimi nimeomba kazi tayari kwa kuwa yeye anaondoka

Huyo mtu kanimind mbaya aisee..,

Mpaka,nimeuliza kazi ni haki au huruma? Na kanitamkia hata Kama naitaka hiyo kazi siwezi pata Tena na hata akiondoka.

Nifanyaje wakuu hapo?
 
Mbona kamind hivo au alitaka afanye fraud ndo aondoke..au alitaka aondoke kafanya matashtiti kwa boss ...lkn hata hivo na ww ungemuuliza kama kamwambia boss otherwise alikuona kama snich alitaka awasuprise kuwa anaondoka ushaharibu😆😆
 
Mbona kamind hivo au alitaka afanye fraud ndo aondoke..au alitaka aondoke kafanya matashtiti kwa boss ...lkn hata hivo na ww ungemuuliza kama kamwambia boss otherwise alikuona kama snich alitaka awasuprise kuwa anaondoka ushaharibu😆😆
Sawa, nimekosea lakini yeye sio mwajiri
 
Napenda kuuliza,kupata ajira ni huruma au haki?

Limenitokea leo,kuna nafasi ya kazi itakuwa wazi soon,mmoja wa hiyo kazi ambae kisifa analingana na Mimi kaajiriwa serikalini...
Umemuharibia ulipaswa uongee nae kwanza akupe Ramani zake, ulichofanya ni kama kupeleka umbea kwa boss kwamba fulani kapata kazi.

Taasisi nyingi za binafsi kwenye mkataba wana kipengele kwamba ukitaka kuvunja mkataba basi utalipa salary ya mwez mmoja kwa muajiri.

Maana yake ni kwamba ingebidi asamehe salary ya mwezi huu sasa yeye hakutaka hilo, alitaka alambe salary kisha asepe.

Kwa kupeleka kwako umbea hatalipwa salary ya mwezi huu ndio maana kamaindi
 
Napenda kuuliza kupata ajira ni huruma au haki?

Limenitokea leo kuna nafasi ya kazi itakuwa wazi soon,mmoja wa hiyo kazi ambae kisifa analingana na Mimi kaajiriwa serikalini...
Usela umekujaa hiyo kazi hupati
 
Kwa sasa ni bahati, au mchongo. Ila enzi za mwalimu, ajira iliangalia zaidi uwezo wa mtu.
 
Nawe nakuuliza, kazi unaomba au unadai? Kama unaomba basi ni huruma tu, kama unaidai basi ni haki.
 
Back
Top Bottom