Kupata fremu za biashara maeneo yenye muingiliano wa watu ni tabu sana

Hiyo ni wewe tu huko tulisha toka tuko online business interaction yatu sio yakutafuta sehemu sijui
Frem kama ni online msongamano wa nini kwanini astengeze store nyumbani kwake.

Wabongo tuna umasiki wa akili we are not thinking properly ndio maana tunatengeza mazingira ya kutwozwa Mala usafi Mala sungusungu uchawi kurushiana majini chuma ulete vitu kibao
Karne hii mtu anapost kitu kama hiki anatafuta sehemu yenye msogamano watu wakati watu wamesongama online
 
Daaah pole. Kazi njema
 
Wewe Unauza nn online?
 
Sorry. Mimi sio mfanyabiasha. Ila nadhani ungemuuliza kwanza nature ya biashara yake, kabla ya kumshauri aende online. Usikute labda anawaza kufanya biashara ya chakula?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…