Nilishakujibu mdada kuwa labda utusaidie ni mitandao gani watanzania huwa wanaagiza chakula online? Tunajua kuwa ukitaka usafiri, zipo Bolt, InDrive, etc, kwamba karibia kona nyingi za Dar unaweza ingia online ukapata usafiri kwa wakati unaouhitaji. Vitu kama nguo, vyombo vya nyumbani etc... kuna WhatsApp, Telegram, FB na mitandao mingine, wafanyabiashara wanajitahidi kutangaza huko. Sasa labda utuambie, nikiwa Kimara nikataka kula let's say Biryani, naingia mtandao upi ninakoweza kupata delivery ya biryani kwa wakati huo ili nile na maisha yaendelee?
Unaweza nisahihisha.