Jemima Jackson
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 748
- 934
Chakula hakiuziki online?Sorry. Mimi sio mfanyabiasha. Ila nadhani ungemuuliza kwanza nature ya biashara yake, kabla ya kumshauri aende online. Usikute labda anawaza kufanya biashara ya chakula?
Nilishakujibu mdada kuwa labda utusaidie ni mitandao gani watanzania huwa wanaagiza chakula online? Tunajua kuwa ukitaka usafiri, zipo Bolt, InDrive, etc, kwamba karibia kona nyingi za Dar unaweza ingia online ukapata usafiri kwa wakati unaouhitaji. Vitu kama nguo, vyombo vya nyumbani etc... kuna WhatsApp, Telegram, FB na mitandao mingine, wafanyabiashara wanajitahidi kutangaza huko. Sasa labda utuambie, nikiwa Kimara nikataka kula let's say Biryani, naingia mtandao upi ninakoweza kupata delivery ya biryani kwa wakati huo ili nile na maisha yaendelee?Chakula hakiuziki online?
Basi itakuwa nimeanza kuzeeka. Sikujua kuwa kwa sasa Watanzania wengi wamefikia hatua ya kuagiza chakula mtandaoni.
Unanionaje mimi hapo kwenye Facebook whatspp ni sio platform za kufanyia biashara ni semu ya kutangazia biashara na watu wengi wanatapeliwa Kisha wanasingizia online businessNilishakujibu mdada kuwa labda utusaidie ni mitandao gani watanzania huwa wanaagiza chakula online? Tunajua kuwa ukitaka usafiri, zipo Bolt, InDrive, etc, kwamba karibia kona nyingi za Dar unaweza ingia online ukapata usafiri kwa wakati unaouhitaji. Vitu kama nguo, vyombo vya nyumbani etc... kuna WhatsApp, Telegram, FB na mitandao mingine, wafanyabiashara wanajitahidi kutangaza huko. Sasa labda utuambie, nikiwa Kimara nikataka kula let's say Biryani, naingia mtandao upi ninakoweza kupata delivery ya biryani kwa wakati huo ili nile na maisha yaendelee?
Unaweza nisahihisha.
Huh!!! Asante sana kwa somo. Ingawa sina uhakika kama hata ukirudia kusoma ulichoandika mwenyewe unaweza kuelewa. Anyway, asante sana.Unanionaje mimi hapo kwenye Facebook whatspp ni sio platform za kufanyia biashara ni semu ya kutangazia biashara na watu wengi wanatapeliwa Kisha wanasingizia online business
Ngoja nikupe somo kidogo online platform Kuna vigezo ambavyo unaweza usivijue ukifikiri kila mtu niwakuagiza au kununua mazao Facebook sijui jf hapa Kuna watu wengi lakini sio platform ya online business kwamba tunaweza kufanya biashara mimi niko UK wewe uko njombe ningumu