Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushamba wa kwenye majeshi yetuNenda siku HOSPITAL LUGALO uone ukivaaJEZI au TRACKSUIT unapelekwa uwanjani ukacheze mpila na kifanya mazoezi ya VIUNGO
HESHIMU maadili yako ya KITANZANIA acha kuigaiga UZUNGU
Pale uhamiaji makao makuu siku moja ilinilazimu kwenda kukodi kanzu pale nje posta mpyaMara nyingi nimeona akina dada wakikataliwa kuhudumiwa katika ofisi za uhamiaji kwakuwa aidha wamevaa nguo zinazoelezwa maafisa kuwa ni fupi au za kubana. Nani anaweka vigezo hivi? Mbona neno uchi tumelikuza hadi kufikia maeneo ambayo hayapaswi kuwa uchi? Kwahiyo Maafisaa wakiona miguu ya akina dada wanashindwa kufanya kazi au ufanisi unapungua?
Huwa likija suala la mavazi Watanzania wengi tunakimbilia kuongelea maadili kana kwamba sisi sote tuna maadili.
Siku moja nimefika ofisi fulani ya Uhamiaji nikakuta walinzi getini wanawarudisha akina dada wawili waliovyaa suruali, tena ambazo hata hazina mbano wa namna ya kuleta “mfadhaiko” kwa afisa wa kiume, kama hiyo ndiyo hoja. Hivi huwa wanawarudisha hata wageni wenye rangi tofauti na nyeusi wanapoenda kushughulikia permits zao au nyaraka nyingine?
Well, huenda nimekengeuka kimaadili kutokuona na kutokuona shida ya mavazi hayo.
basi wawe wanaenda uchi kabisa ili tuzingatie performance tu au vipi?Ni ushamba tu huo ila unaondoka muda unavyozidi kwenda, kwa watu wanaofanya kazi kwenye ofisi zinazojielewa hakuna hizo restrictions za kipumbavu hata kwa staff, mavazi na performance ni vitu ambavyo havitangamani hasa kwa dunia ya leo
Kwa hiyo atakaekwenda amevaa uniform ya benk yeyote atapelekwa kuhesabu hela sio?Nenda siku HOSPITAL LUGALO uone ukivaaJEZI au TRACKSUIT unapelekwa uwanjani ukacheze mpila na kifanya mazoezi ya VIUNGO
HESHIMU maadili yako ya KITANZANIA acha kuigaiga UZUNGU