Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.

Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.

Baada ya Upinzani kushinda Zambia, najua kuna Watanzania wengi na haswa wapinzani na wapenda mabadiliko, watafurahia matokeo ya Zambia kwa imani na matumaini kuwa hiki kilichotokea Zambia, "if it can happen in Zambia, then one day it can also happen in Tanzania". Hivyo na Tanzania kuna siku Upinzani utashinda, uchaguzi, kutangazwa na kuongoza nchi. Naomba niwaandae kisaikolojia, "Zambia is Zambia na Tanzania ni Tanzania" Kwa Tanzania, sisi bado sana, maana ni kama hatuna any serious opposition ya kuikabidhi ikulu yetu, hivyo CCM itatawala mile...!, naomba nisimalizie- Pasco.
Nilikua na hamu sana kukuona na kusikia unaitwa mheshimiwa. Nilikupigia kura moyoni mwangu, bahati mbaya haikuonekans na kijimlishwa na yule mmoja aliyekuwa ukumbini.
 
Baada ya Upinzani kushinda Zambia, najua kuna Watanzania wengi na haswa wapinzani na wapenda mabadiliko, watafurahia matokeo ya Zambia kwa imani na matumaini kuwa hiki kilichotokea Zambia, "if it can happen in Zambia, then one day it can also happen in Tanzania". Hivyo na Tanzania kuna siku Upinzani utashinda, uchaguzi, kutangazwa na kuongoza nchi. Naomba niwaandae kisaikolojia, "Zambia is Zambia na Tanzania ni Tanzania" Kwa Tanzania, sisi bado sana, maana ni kama hatuna any serious opposition ya kuikabidhi ikulu yetu, hivyo CCM itatawala mile...!, naomba nisimalizie- Pasco.
🤔🤔🤔
"Ikulu yenu"!! Na akinanani?
Wewe unafanya kazi gani hapo ikulu
 
🤔🤔🤔
"Ikulu yenu"!! Na akinanani?
Wewe unafanya kazi gani hapo ikulu
Elimu ya uraia, bado inahitajika sana kwa Watanzania !. Kuna watu hawajui Ikulu ni ya nani?. Ikulu ni mali ya Watanzania, wewe ukiwemo. Yule anayekaa ikulu yetu ni mpangaji wetu, tumempangisha kwa mkataba wa miaka mitano mitano. Ni sisi tumemuajiri kwa kura zetu na kumlipa mshahara kwa kodi zetu.
Tanzania ni mali yetu sisi, "we the people".
P
 
Baada ya Upinzani kushinda Zambia, najua kuna Watanzania wengi na haswa wapinzani na wapenda mabadiliko, watafurahia matokeo ya Zambia kwa imani na matumaini kuwa hiki kilichotokea Zambia, "if it can happen in Zambia, then one day it can also happen in Tanzania". Hivyo na Tanzania kuna siku Upinzani utashinda, uchaguzi, kutangazwa na kuongoza nchi. Naomba niwaandae kisaikolojia, "Zambia is Zambia na Tanzania ni Tanzania" Kwa Tanzania, sisi bado sana, maana ni kama hatuna any serious opposition ya kuikabidhi ikulu yetu, hivyo CCM itatawala mile...!, naomba nisimalizie- Pasco.
tuliongea huko nyuma kuwa kwa maneno yako MEKO hatokuteuwa na mwishoe akakuita MAYALLA kikwenu ni NJAA.
hivyo ukiendeleza hizi shwain zako na kwahuyu MAMA pia utapitiliza tu anakuona afu hakuoni. kama bado unatamaa kuteuliwa badili hii style yako nilishakuelezaga
 
Wanabodi,

Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku zote ndio husimama mpaka mwisho. Kauli ya rais wetu Dr. John Pombe Magufuli, kuwa "CCM itatawala Milele " ni kauli ya ukweli kabisa kuwa ni ukweli halisi na ukweli bayana, katika mazingira ya sasa ya nchi yetu na uendeshaji wa siasa za vyama vingi, chini ya katiba hii ya JMT ya mwaka 1977 ambayo ni katiba ya mfumo wa chama kimoja, kama hakuna kitakachobadilika kama kupatikana kwa katiba mpya, na kuunda kwa Tume huru ya Uchaguzi, then rais Magufuli yuko very right kuwa CCM itatawala milele!.

Moja kati ya sifa kubwa za rais Magufuli, ni kusema ukweli Daima tena bila kukopesha, wala kurembaremba, japo kuwa mkweli sana sometimes sio nzuri sana kidiplomasia katika baadhi ya maeneo, ambapo diplomasia hutumika, haya mambo ya diplomasia ndio yametufikisha hapa tulipo, sasa ili tutoke hapa na kusonga mbele kimaendeleo, Watanzania ni lazima tujifunze kuubali ukweli jinsi ile ulivyo, bila kurembwa rembwa, hivyo hili la CCM kutawala milele ni ukweli mtupu ambao lazima tuukubali.

Kuna wengi wanadhani siasa ni kupiga blah blah tuu, hivyo kwao, kila kinachosemwa na wanasiasa, wanakiona kama ni blah blah!, no!. Siasa sio blah blah tuu, japo blah blah zipo, ila pia kuna ukweli bayana, dhahir, shahir!. Siasa ni sayansi, social science, hivyo sayansi ya siasa ni political science, inafuata kanuni zile zile za kisayansi za Newton's laws of motion, ile kanuni ya "a body in motion" or
" a static body", itaendelea kubaki hivyo hivyo milele, hadi kutokea nguvu nyingine itakayoibadilisha, hivyo kwa hali hii ilivyo sasa, CCM is the body in motion, itaendelea kutawala milele, kwa sababu watu wenye uwezo wa Kimungu, wameishaona kuwa kwa Tanzania, hakuna kabisa uwezekano wa kutokea nguvu nyingine ya kuizuia CCM isitawale milele nchi yetu ya Tanzania, hivyo CCM, itatawala milele!.

Japo kila lenye mwanzo, huwa lina mwisho, na CCM kama chama, ina mwanzo hivyo ni lazima nayo iwe na mwisho, unless CCM ndie Mungu mwenyewe, ambaye Yeye ndiye Pekee Alfa na Omega hivyo CCM hii iliyopo sasa nayo ni CCM Alfa na Omega, haina mwisho, hivyo pia katika utawala wa Tanzania, CCM ndio alfa na omega wa siasa zetu, ndicho chama pekee chenye hati miliki ya kuitawala Tanzania milele!, huu ni ukweli bayana ambao lazima sote, tuupokee, tuukubali na tuutekeleze. Wale wote wasioukubali ukweli huu, ni kweli kabisa watapata taabu sana!.

Jee Milele ni Muda Gani?.
Kuna aina mbili za milele, milele ya kwanza ni milele ya kiroho, eternal ambayo inaongozwa na Mungu, na hata sisi binadamu, tutaishi milele, hivyo hapa duniani tuko tuu safarini kuelekea kwenye ama uzima wa milele mbinguni au peponi kwa Mungu kwa watenda wema, au kwenye jehanum ya ziwa la moto wa milele kwa shetani kwa watenda maovu.

Milele ya pili ni life span ya kudumu mpaka mwisho. Hii ni milele ya kidunia, ukizaliwa ukaishi, siku utakapokufa hiyo ndio milele yako na hapo ndipo mwisho wako. Life span zinatofautiana, mtoto akizaliwa na kuishi siku moja, hiyo siku moja, ndio milele yake, na mtu mwingine ukiishi miaka 100, hiyo ndio milele yake, kama ilivyo nyumba, ukizaliwa na kuvikuta vitu fulani, ukaishi navyo mpaka ulipokufa na kuviacha, vitu hivi vitasemwa vimeishi milele. Hivyo kwa wale wote walioishuhudia CCM ikizaliwa, kisha wao ndio wamekufa na kuiacha CCM, kwao CCM imedumu milele. Hivyo hata hawa waliopo sasa, ambao wamezaliwa na kuikuta CCM, na watakufa na kuiacha CCM, kwao CCM ni chama cha milele.

Hizi kauli za CCM kutawala milele, hazikuanza leo, na wala hazikuanza na rais Magufuli.
Hebu tembelea bandiko hili, umsikilize mwana CCM huyu alisema nini na uangalie alisema
lini na alisema wapi!, kwa wavivu wa kufungua links, kauli hii ya CCM kutawala milele, ilitolewa na Mhe. Pinda ndani ya Bunge letu tukufu na hakuna aliyetia neno!.
PM, Hon. Mizengo Kayanza Peter Pinda; Sorry, You are very wrong!

Nilidhani Mhe. Pinda amekosea, kumbe mimi ndiye niliyekosea baada ya ukweli huu kuzidi kuthibitishwa na kutamkwa wazi wazi na bayana, itabidi tuu nimtafute Mtoto wa Mkulima, nimuombe msamaha kwa kudhani he was wrong, kumbe mimi ndio I was very wrong.

Humu jf, mtu wa kwanza kusema kuwa CCM itatawala milele ni mwana jf huyu
Je, CCM Itatawala Milele Au?
Na nilipokutana naye, nilifanya nae mahojiano haya.
lini
Watch TBC Live!. " William Malecela na Ndoto ya CCM Kutawala Miaka 50!.

Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla !.

Kuhusu hili la CCM kutawala milele, pia niliwahi kulisema hapa
CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?

Katika awamu hii, viongozi wa upinzani walipoamua kujiengua kwenye vyama vyao kujiunga CCM, japo walibezwa, nikasisitiza humu, wasibezwe, wanaona mbali
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?

Jee Umilele wa CCM Kutawala Tanzania Milele, Unatokana na Nini?.

Umilele wa CCM kuitawala Tanzania, unatokana na mungu kuiteua CCM na kuipatia hati miliki ya milele kuitawala Tanzania, ndio maana katika baadhi ya makala zangu za nyuma, niliwahi kushauri tuifute ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, tuifute ruzuku kwa vyama vya siasa, Tanzania turejee kuwa nchi ya chama kimoja cha milele, CCM.
Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi
Kidumu Milele Chama Cha Mapinduzi.
Pascal
Gwajima ndiye anayesema ukweli, Bibi maushungi na Dada mwenye shanga shingoni wanapotosha
 
"kuachana na CCM na kuifanya nchi mali ta Watanzania"

Ninaposema nchi kuwa mali ya watanzania, ni watanzania kukubaliana CCM haifai na kuingia barabarani kufanya mapinduzi ya amani, hasira hizi ndio zitawaweka mbali wahuni wote na CCM na mamlaka ya nchi hii.

Mwananchi yeyote kwasasa anaweza kuchochea muamko kwa wananchi na wananchi wa Tanzania kuidai nchi yao kupitia msukumo huo, unaweza kuwa hata wewe pascal Mayala.
Japo mawazo yako ni mazuri, ila unachozunguza hapa ni utopian politics kwa wishes, wishful thinking and day dreams.

Mimi nazungumzia real politics ya siasa za ukweli zilizopo na kinachofanyika. Siasa ni sayansi, inafuata scientific process za political science, kwa Tanzania hapo tulipo, tuna chama kimoja tuu cha siasa chenye uwezo wa kutawala nchi, chama hiki ni one and only CCM!, hakuna chama mbadala cha kuireplace CCM!. Hili la kufanya mapinduzi, ndicho Dr. Bashiru alichowashauri wakulima, Watanzania sio watu wa hivyo!. Hivyo CCM itaendelea kuwepo na kuendelea kutawala for a long long time to come mpaka atokee mbadala!.

Ukweli ni huu Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
 
Wanabodi,

Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku zote ndio husimama mpaka mwisho. Kauli ya rais wetu Dr. John Pombe Magufuli, kuwa "CCM itatawala Milele " ni kauli ya ukweli kabisa kuwa ni ukweli halisi na ukweli bayana, katika mazingira ya sasa ya nchi yetu na uendeshaji wa siasa za vyama vingi, chini ya katiba hii ya JMT ya mwaka 1977 ambayo ni katiba ya mfumo wa chama kimoja, kama hakuna kitakachobadilika kama kupatikana kwa katiba mpya, na kuunda kwa Tume huru ya Uchaguzi, then rais Magufuli yuko very right kuwa CCM itatawala milele!.

Moja kati ya sifa kubwa za rais Magufuli, ni kusema ukweli Daima tena bila kukopesha, wala kurembaremba, japo kuwa mkweli sana sometimes sio nzuri sana kidiplomasia katika baadhi ya maeneo, ambapo diplomasia hutumika, haya mambo ya diplomasia ndio yametufikisha hapa tulipo, sasa ili tutoke hapa na kusonga mbele kimaendeleo, Watanzania ni lazima tujifunze kuubali ukweli jinsi ile ulivyo, bila kurembwa rembwa, hivyo hili la CCM kutawala milele ni ukweli mtupu ambao lazima tuukubali.

Kuna wengi wanadhani siasa ni kupiga blah blah tuu, hivyo kwao, kila kinachosemwa na wanasiasa, wanakiona kama ni blah blah!, no!. Siasa sio blah blah tuu, japo blah blah zipo, ila pia kuna ukweli bayana, dhahir, shahir!. Siasa ni sayansi, social science, hivyo sayansi ya siasa ni political science, inafuata kanuni zile zile za kisayansi za Newton's laws of motion, ile kanuni ya "a body in motion" or
" a static body", itaendelea kubaki hivyo hivyo milele, hadi kutokea nguvu nyingine itakayoibadilisha, hivyo kwa hali hii ilivyo sasa, CCM is the body in motion, itaendelea kutawala milele, kwa sababu watu wenye uwezo wa Kimungu, wameishaona kuwa kwa Tanzania, hakuna kabisa uwezekano wa kutokea nguvu nyingine ya kuizuia CCM isitawale milele nchi yetu ya Tanzania, hivyo CCM, itatawala milele!.

Japo kila lenye mwanzo, huwa lina mwisho, na CCM kama chama, ina mwanzo hivyo ni lazima nayo iwe na mwisho, unless CCM ndie Mungu mwenyewe, ambaye Yeye ndiye Pekee Alfa na Omega hivyo CCM hii iliyopo sasa nayo ni CCM Alfa na Omega, haina mwisho, hivyo pia katika utawala wa Tanzania, CCM ndio alfa na omega wa siasa zetu, ndicho chama pekee chenye hati miliki ya kuitawala Tanzania milele!, huu ni ukweli bayana ambao lazima sote, tuupokee, tuukubali na tuutekeleze. Wale wote wasioukubali ukweli huu, ni kweli kabisa watapata taabu sana!.

Jee Milele ni Muda Gani?.
Kuna aina mbili za milele, milele ya kwanza ni milele ya kiroho, eternal ambayo inaongozwa na Mungu, na hata sisi binadamu, tutaishi milele, hivyo hapa duniani tuko tuu safarini kuelekea kwenye ama uzima wa milele mbinguni au peponi kwa Mungu kwa watenda wema, au kwenye jehanum ya ziwa la moto wa milele kwa shetani kwa watenda maovu.

Milele ya pili ni life span ya kudumu mpaka mwisho. Hii ni milele ya kidunia, ukizaliwa ukaishi, siku utakapokufa hiyo ndio milele yako na hapo ndipo mwisho wako. Life span zinatofautiana, mtoto akizaliwa na kuishi siku moja, hiyo siku moja, ndio milele yake, na mtu mwingine ukiishi miaka 100, hiyo ndio milele yake, kama ilivyo nyumba, ukizaliwa na kuvikuta vitu fulani, ukaishi navyo mpaka ulipokufa na kuviacha, vitu hivi vitasemwa vimeishi milele. Hivyo kwa wale wote walioishuhudia CCM ikizaliwa, kisha wao ndio wamekufa na kuiacha CCM, kwao CCM imedumu milele. Hivyo hata hawa waliopo sasa, ambao wamezaliwa na kuikuta CCM, na watakufa na kuiacha CCM, kwao CCM ni chama cha milele.

Hizi kauli za CCM kutawala milele, hazikuanza leo, na wala hazikuanza na rais Magufuli.
Hebu tembelea bandiko hili, umsikilize mwana CCM huyu alisema nini na uangalie alisema
lini na alisema wapi!, kwa wavivu wa kufungua links, kauli hii ya CCM kutawala milele, ilitolewa na Mhe. Pinda ndani ya Bunge letu tukufu na hakuna aliyetia neno!.
PM, Hon. Mizengo Kayanza Peter Pinda; Sorry, You are very wrong!

Nilidhani Mhe. Pinda amekosea, kumbe mimi ndiye niliyekosea baada ya ukweli huu kuzidi kuthibitishwa na kutamkwa wazi wazi na bayana, itabidi tuu nimtafute Mtoto wa Mkulima, nimuombe msamaha kwa kudhani he was wrong, kumbe mimi ndio I was very wrong.

Humu jf, mtu wa kwanza kusema kuwa CCM itatawala milele ni mwana jf huyu
Je, CCM Itatawala Milele Au?
Na nilipokutana naye, nilifanya nae mahojiano haya.
lini
Watch TBC Live!. " William Malecela na Ndoto ya CCM Kutawala Miaka 50!.

Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla !.

Kuhusu hili la CCM kutawala milele, pia niliwahi kulisema hapa
CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?

Katika awamu hii, viongozi wa upinzani walipoamua kujiengua kwenye vyama vyao kujiunga CCM, japo walibezwa, nikasisitiza humu, wasibezwe, wanaona mbali
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?

Jee Umilele wa CCM Kutawala Tanzania Milele, Unatokana na Nini?.

Umilele wa CCM kuitawala Tanzania, unatokana na mungu kuiteua CCM na kuipatia hati miliki ya milele kuitawala Tanzania, ndio maana katika baadhi ya makala zangu za nyuma, niliwahi kushauri tuifute ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, tuifute ruzuku kwa vyama vya siasa, Tanzania turejee kuwa nchi ya chama kimoja cha milele, CCM.
Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi
Kidumu Milele Chama Cha Mapinduzi.
Pascal

JE SIFA YA KUZUNGUMZA UKWELI ALIKUWA NAYO? / AU ALIKUWA ANATUSHIKIA AKILI KWA UMBUMBUMBU WETU? /
 
Wanabodi,

Kuna wengi wanadhani siasa ni kupiga blah blah tuu, hivyo kwao, kila kinachosemwa na wanasiasa, wanakiona kama ni blah blah!, no!. Siasa sio blah blah tuu, japo blah blah zipo, ila pia kuna ukweli bayana, dhahir, shahir!. Siasa ni sayansi, social science, hivyo sayansi ya siasa ni political science, inafuata kanuni zile zile za kisayansi za Newton's laws of motion, ile kanuni ya "a body in motion" or
" a static body", itaendelea kubaki hivyo hivyo milele, hadi kutokea nguvu nyingine itakayoibadilisha, hivyo kwa hali hii ilivyo sasa, CCM is the body in motion, itaendelea kutawala milele, kwa sababu watu wenye uwezo wa Kimungu, wameishaona kuwa kwa Tanzania, hakuna kabisa uwezekano wa kutokea nguvu nyingine ya kuizuia CCM isitawale milele nchi yetu ya Tanzania, hivyo CCM, itatawala milele!.

Japo kila lenye mwanzo, huwa lina mwisho, na CCM kama chama, ina mwanzo hivyo ni lazima nayo iwe na mwisho, unless CCM ndie Mungu mwenyewe, ambaye Yeye ndiye Pekee Alfa na Omega hivyo CCM hii iliyopo sasa nayo ni CCM Alfa na Omega, haina mwisho, hivyo pia katika utawala wa Tanzania, CCM ndio alfa na omega wa siasa zetu, ndicho chama pekee chenye hati miliki ya kuitawala Tanzania milele!, huu ni ukweli bayana ambao lazima sote, tuupokee, tuukubali na tuutekeleze. Wale wote wasioukubali ukweli huu, ni kweli kabisa watapata taabu sana!.


NB: Baadhi ya kauli kama hizi, zinasababisha curses, msije kushangaa watoa kauli kama hizi kuja kuwa cursed na kuchomoka kabla ya wakati kwa sababu neno milele ni mamlaka ya Mungu mwenyewe!.

Kidumu Milele Chama Cha Mapinduzi.
Pascal
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amesema kuwa hakuna siku itatokea chama hicho kikaruhusu nafasi ya kuachia kuitawala nchi kwakuwa imejiwekea mizizi imara katika kuwatumikia wananchi wake.

Dkt. Tulia ameyasema hayo leo Februari 4, 2023 akiwa Visiwani Zanzibar kwa ziara ya kichama ambapo alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya sherehe za miaka 46 ya Chama hicho iliyofanyika katika Mkoa wa kusini Unguja.

Chanzo: Clouds Media
Huu ndio ukweli wenyewe!.
P
 
Sasa CCM kujiwekea mizizi nalo ni suala la kujiuliza kweli? , CCM kutawala milele mbona inajulikana upinzani wenye uelekeo nchi hii ulikua wa Mrema tu wengine wote wataambulia viti vya udiwani na ubunge basi tena kwa uchache
 
Wanabodi,

Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku zote ndio husimama mpaka mwisho.

Paskali
Pascal Mayalla , Mkuu Mimi nafsi yangu naona Wewe ulipata heshima kubwa mno kabla kwenda kujaribu kalata yako kwenye lichama chakavu ambalo limedhulumu wa TZ zaidi ya 60...&
Karibu mitaa hii, hili unaloita lichama chakavu linaendelea kutawala Tanzania milele na milele!.
P
 
Karibu mitaa hii, hili unaloita lichama chakavu linaendelea kutawala Tanzania milele na milele!.
P
linaendelea kutala hilo sikatae pia nawewe kubali hilo lichama linawamwaga wasakatonge na wamapimbio kama wewe mkuu .. Pascal Mayalla ushahidi Kule Kawe na yote ile mikeka nani kama mama ameishusha ila jina linalo fanana na lako hakuna .
 
Wanabodi,

Japo kila lenye mwanzo, huwa lina mwisho, na CCM kama chama, ina mwanzo hivyo ni lazima nayo iwe na mwisho, unless CCM ndie Mungu mwenyewe, ambaye Yeye ndiye Pekee Alfa na Omega hivyo CCM hii iliyopo sasa nayo ni CCM alfa na omega, ina mwanzo tuu, lakini haina mwisho!, hivyo pia katika utawala wa Tanzania, CCM ndio alfa na omega wa siasa zetu, ndicho chama pekee chenye hati miliki ya kuitawala Tanzania milele!, huu ni ukweli bayana ambao lazima sote, tuupokee, tuukubali na tuutekeleze. Wale wote wasioukubali ukweli huu, ni kweli kabisa watapata taabu sana!

Jee Umilele wa CCM Kutawala Tanzania Milele, Unatokana na Nini?.
Umilele wa CCM kuitawala Tanzania, unatokana na mungu wa CCM (not necessarily ni Mungu Baba) kuiteua CCM na na kuifanya chama dola, na kuipatia hati miliki ya kuitawala Tanzania milele na milele!, ndio maana katika baadhi ya makala zangu za nyuma, niliwahi kushauri tuifute ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, tuifute ruzuku kwa vyama vya siasa, Tanzania turejee kuwa nchi ya chama kimoja cha milele, CCM.
Tatizo Kuna (Ashakhum si matusi) mabwege fulani hivi wanataka kuonesha CCM imetoka mbinguni na imeumbwa ili iwatawale watanzania.
CCM imeumbwa kutawala Tanzania milele!。
P
 
CCM imeumbwa kutawala Tanzania milele!。
P
Kwavile tunaishi kwenye jamii ya kanyaga twende yaani jamii ya bora liende jamii ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi pia unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka wewe
 
Back
Top Bottom