habari wakuu nna tatizo lakupat maumivu wakati wakukaa ila sio muda wote nimejichunguza kuna kijipu uchungu karibu na njia ya haja kubwa ila hakijaiva na nikikigusa hakiumi inaweza kuwa ndio kinacholeta maumivu au kuna lengine ?
Mwenye kujua msaada plz
Mwenye kujua msaada plz