Kupata mimba wakati unanyonyesha

Kupata mimba wakati unanyonyesha

inspectorbenja

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
597
Reaction score
651
Wadau naombeni msaada hivi inawezekana mwanamke amabye amejifuungua hajazidi siku 20 akakutana kimwili akapata mimba.
Naomba ufafanuzi wa kitaaluam siyo porojo
 
wee ni noumer
its not fair fanya tizi kama vp upunguze hizo nanhii
mimba inaingia tu mbona ovulation si inaendelea kama kawa sperm ikikutana na ovary tu tayariiiiiiiiiii
 
Siku ishirin,?? Ndio maana watu walikuwa wanakwenda kwa wakwe , mashangazi au wazazi kuepusha haya mambo. Hapo tayari mjiandae tu kulea tena, ujifunze kuwa na kiasi.
 
Twenty days!!!!!!!!
Wakati mama ananyonyesha anaweza asipate siku zake kwa miezi kadhaa, shida inakuwa kwamba mwili unatengeneza yai la kwanza baada ya kujifungua bila ya mwanamke kuona siku zake. Mwanamke hawezi kujua kama ameovulate mpaka baada ya wiki mbili atakapoona siku zake.

So mwanamke kupata mimba akiwa ananyoshesha inawezekana sana.
 
Hivi hata huogopi? Kizazi bado kibichi na hakijarudi vizuri sehemu yake, unathubutu kweli...huyo mwanamama nae hamnazo

Kuna njia nyingi za kuridhishana kama umezidiwa hata clinic wanaelezwa,nimewashangaa!!

Mtu bado ana harufu ya kinyenge unamlala,mbali na kupata mimba hairuhusuwi
Subir mpaka amalize angalau 40
 
Hivi bango hili linaukweli.....................20days hapana ulingiza wapi wewe kama sio kuleta uwongo hapa?
 
Wadau naombeni msaada mke wangu tangu ajifungue hajazidi siku 20. Nikazidiwa nikalala nae je atapata mimba

acha uhuni wewe si ujipige punyeto? we mtu hata mbunye haijarudi unataka kupiga katerero..kheeee
 
Mnafanya mambo kuwa big issue mnamsema mwenzenu sio fair kabisa.....


Sheria ya dini wingi wa nifasi ni siku 40 ukipoa kabla ya hapo unaweza kuoga na ikawa halali kulala na mumeo.....

Shoga kuhusu kupata mimba wataalamu wanasema ukinyonyesha ati inapunguza uwezo mkubwa na kupata mimba ila usi take a risk ukajiachia.....

Kama umepona na upo ok na unamtamani mumeo burudisha moyo wako mwenzangu.......


Hongera sana kuwa mama mungu amjaalie kila aina ya kheir mtoto wako awe mwema mwenye huruma na kila aina ya mazuri..

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hivi hata huogopi? Kizazi bado kibichi na hakijarudi vizuri sehemu yake, unathubutu kweli...huyo mwanamama nae hamnazo

Kuna njia nyingi za kuridhishana kama umezidiwa hata clinic wanaelezwa,nimewashangaa!!

Mtu bado ana harufu ya kinyenge unamlala,mbali na kupata mimba hairuhusuwi
Subir mpaka amalize angalau 40

Isije ikawa unamaanisha 0713
 
Wadau naombeni msaada hivi inawezekana mwanamke amabye amejifuungua hajazidi siku 20 akakutana kimwili akapata mimba.
Naomba ufafanuzi wa kitaaluam siyo porojo
ndio kuna uwezekano wa kupata mimba kwasababu kizazi kimesharudi sehemu yake....ila ukiwa unanyonyesha full time kuna uwezekano wa asilimia 98 wa kutokupata mimba katika miezi 6 ya mwanzo kama mzazi hajapata siku zake na ananyonyesha usiku pia!
 
hao watoto wakifanana wataitwa mapacha waliopishana miezi kumi
 
Back
Top Bottom