inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
Wadau naombeni msaada hivi inawezekana mwanamke amabye amejifuungua hajazidi siku 20 akakutana kimwili akapata mimba.
Naomba ufafanuzi wa kitaaluam siyo porojo
Naomba ufafanuzi wa kitaaluam siyo porojo