Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Yes U can.... very easily. (Window period to conceive starts D[SUB]10[/SUB] goes up to D[SUB]16)[/SUB]
hEBUA ANGALIA NI SIKU 12 SORY MWANZONI NILIANDIKA 14.. ME MZUNGUKO WANGU NI SIKU 26
habari za leo wana jamvi!
Naomba kuuliza hivi unaweza kupata ujauzito siku ya (12) tangu kuanza kwa period iliyopita? Mf. umeanza period tarehe 02/11 then uka-do trh 14/11 je unaweza kupata ujauzito?
Jamani nimenunua kale kakipimo nimepima mwenye we ila naona kamstari kamoja tu. it means negative. Ngoja nisubiri subiri period iki goma kabisa nakwenda kwa mtabibu anipime ......
habari za leo wana jamvi!
Naomba kuuliza hivi unaweza kupata ujauzito siku ya (12) tangu kuanza kwa period iliyopita? Mf. umeanza period tarehe 02/11 then uka-do trh 14/11 je unaweza kupata ujauzito?
Kwani unataka mimba au hutaki? maana tusije kuwa tunakupa hongera kumbe wewe unalia huko