Billie JF-Expert Member Joined Aug 13, 2011 Posts 13,588 Reaction score 22,752 Jan 2, 2012 #21 Nyakwaratony said: kwa sasa itakwua imeniwahi ingawa nataka cos nilitaka nimalize masomo kwanza ila kama imo ntakubaliana nayo make mista anapenda watoto! Click to expand... Upo form ngapi kwani?Na ni shule gani?
Nyakwaratony said: kwa sasa itakwua imeniwahi ingawa nataka cos nilitaka nimalize masomo kwanza ila kama imo ntakubaliana nayo make mista anapenda watoto! Click to expand... Upo form ngapi kwani?Na ni shule gani?
Filipo JF-Expert Member Joined Jan 6, 2011 Posts 9,341 Reaction score 5,543 Jan 2, 2012 #22 Ndo ushalengwa tayari! muulizu Dr sasa jinsi ya kuitoa!?
Gody JF-Expert Member Joined Apr 16, 2010 Posts 1,246 Reaction score 413 Jul 10, 2013 #23 Nyakwaratony said: habari za leo wana jamvi! Naomba kuuliza hivi unaweza kupata ujauzito siku ya (12) tangu kuanza kwa period iliyopita? Mf. umeanza period tarehe 02/11 then uka-do trh 14/11 je unaweza kupata ujauzito? Click to expand... tayari kujifungua au bado?
Nyakwaratony said: habari za leo wana jamvi! Naomba kuuliza hivi unaweza kupata ujauzito siku ya (12) tangu kuanza kwa period iliyopita? Mf. umeanza period tarehe 02/11 then uka-do trh 14/11 je unaweza kupata ujauzito? Click to expand... tayari kujifungua au bado?