Kupata mimba

kwa sasa itakwua imeniwahi ingawa nataka cos nilitaka nimalize masomo kwanza ila kama imo ntakubaliana nayo make mista anapenda watoto!

Upo form ngapi kwani?Na ni shule gani?
 
Ndo ushalengwa tayari! muulizu Dr sasa jinsi ya kuitoa!?
 
habari za leo wana jamvi!

Naomba kuuliza hivi unaweza kupata ujauzito siku ya (12) tangu kuanza kwa period iliyopita? Mf. umeanza period tarehe 02/11 then uka-do trh 14/11 je unaweza kupata ujauzito?


tayari kujifungua au bado?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…