habari zenu wanajf! naombeni kuuliza,ivi is it pocbo kupata kumpa mwanamke mimba(ujauzito) endapo kila siku unasex nae bila kupumzika japo siku moja?msaada ndugu wajuzi wa mambo
habari zenu wanajf! naombeni kuuliza,ivi is it pocbo kupata kumpa mwanamke mimba(ujauzito) endapo kila siku unasex nae bila kupumzika japo siku moja?msaada ndugu wajuzi wa mambo
Kama unatamwaga mbegu za kiume zilizo na uwezo wa kurutubisha yai ndani ya UKE wa mwanamke na mwanamke huyo asiwe mgumba, hakika mwanamke huyo atapata mimba.