Jamani msaada nahitaji kupata mkopo bank, lakini nina nyumba yenye leseni ya makazi, sina biashara, je kuna bank yoyote inaweza toa mkopo?? Msaada kwa anayejua please
Mikopo sio mizuri kwa waafrika hasa watanzania coz hawana adabu na pesa za Mikopo ndo maana wanafeli mbona Indians na ngozi nyeupe ndo inayiwasaidia kuinuka kiuchumi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.