Kupata msaada juu ya matatizo ya kiakili....

Kupata msaada juu ya matatizo ya kiakili....

Nenda kwa doctor msango pale mloganzila izi issues ana zijua mno. Bora ww umejigundua naukaamua kuchukua hatua, kwasababu linamazara sana.kuna mtu namfahamu anahili tatizo lakin akubaliani nalo kabisaa ndolinazidi kumfanya aonekane tofaut kwa matendo yake lakin yeye anajiona yuko sawa.
asante sana mkuu
 
Ni mambo gani hayo unayoyafanya mbona umekuwa mfichivu mno au isije kuwa unakunya kwenye masufuria na kuyainjika motoni
 
Habari zenu watanzania. Hivi karibuni nimeweza kugundua, baada ya kuchunguza kwa makini, kwamba kuna uwezekano mkubwa nina tatizo la kiakili(mental disorder). Kuna vitu nimekua nikivifanya, na kuna jinsi nimekua nikiishi na watu walionizunguka kwa miaka kadhaa sasa..... Hii imenipelekea kufanya uchunguzi ambao umeonyesha naweza kua na tatizo la akili....

Pia nimegundua hapa tz swala la afya ya akili tunalichukulia kiuwepesi sana, ni changamoto kupata msaada na isitoshe kuna hii dhana ya wanaume kua wagumu na wastahimilivu, hili limenifanye niwaze sana kuhusu kutafuta msaada.

Lakini sasa nimeamua hili swala nianze kulishughulikia kwasababu madhara naona yameanza kua makubwa. Sasa ningependa kujulishwa kama kuna njia nzuri ya kupata msaada, ikiwezekana wa kitaalam, juu ya matatizo ya afya ya akili. Saidia kwa mapendekezo yoyote uliyonayo. Ningependa kujua kama labda kuna gharama za kifedha zitahusika, au labda kama kuna process za kufuata n.k....

Ahsanteni....
Mkuu hii ni hatua ya kwanza katika kupata Tina,Yaaani mtu kujigundua Kisha kutafuta msaada.

Maana kihalisia tatizo la akili ni pale kupungua sana au kuongezeka sana kwa yale mambo Ambayo amezoea kuyafanya.mfano kulala sana,kula kidogo au kutopenda kula kabisa, mzigo wa mawazo usio na majibu kwa wakati husika nk.


Hatua ya pili ni utafute mtu ambae unamuamini na UMUELEZEE kwa marefu na mapana yale unayopotia Maishani na kwa namna gani unayaona ni changamoto.

Moja ya gharama unayopaswa kutoa ni muda wako,Acha haraka kabisa utakapoenda kuonana na huyo mtu,itenge ni maalum kwa ajili ya kutafuta msaada,hivyo jiandae kwa hilo.

Kingine ni kuwa muwazi kwa yule utakayeonana nae na akakupa muda wake kukusikiliza,Mwambie vile unajisikia,ulianza lini,yapi yanatokea na nini unatamani kukipata kama suluhisho.


Kwa lolote karibu sana PM
 
Mkuu hii ni hatua ya kwanza katika kupata Tina,Yaaani mtu kujigundua Kisha kutafuta msaada.

Maana kihalisia tatizo la akili ni pale kupungua sana au kuongezeka sana kwa yale mambo Ambayo amezoea kuyafanya.mfano kulala sana,kula kidogo au kutopenda kula kabisa, mzigo wa mawazo usio na majibu kwa wakati husika nk.


Hatua ya pili ni utafute mtu ambae unamuamini na UMUELEZEE kwa marefu na mapana yale unayopotia Maishani na kwa namna gani unayaona ni changamoto.

Moja ya gharama unayopaswa kutoa ni muda wako,Acha haraka kabisa utakapoenda kuonana na huyo mtu,itenge ni maalum kwa ajili ya kutafuta msaada,hivyo jiandae kwa hilo.

Kingine ni kuwa muwazi kwa yule utakayeonana nae na akakupa muda wake kukusikiliza,Mwambie vile unajisikia,ulianza lini,yapi yanatokea na nini unatamani kukipata kama suluhisho.


Kwa lolote karibu sana PM
Asante sana mkuu....
 
Habari zenu watanzania. Hivi karibuni nimeweza kugundua, baada ya kuchunguza kwa makini, kwamba kuna uwezekano mkubwa nina tatizo la kiakili(mental disorder). Kuna vitu nimekua nikivifanya, na kuna jinsi nimekua nikiishi na watu walionizunguka kwa miaka kadhaa sasa..... Hii imenipelekea kufanya uchunguzi ambao umeonyesha naweza kua na tatizo la akili....

Pia nimegundua hapa tz swala la afya ya akili tunalichukulia kiuwepesi sana, ni changamoto kupata msaada na isitoshe kuna hii dhana ya wanaume kua wagumu na wastahimilivu, hili limenifanye niwaze sana kuhusu kutafuta msaada.

Lakini sasa nimeamua hili swala nianze kulishughulikia kwasababu madhara naona yameanza kua makubwa. Sasa ningependa kujulishwa kama kuna njia nzuri ya kupata msaada, ikiwezekana wa kitaalam, juu ya matatizo ya afya ya akili. Saidia kwa mapendekezo yoyote uliyonayo. Ningependa kujua kama labda kuna gharama za kifedha zitahusika, au labda kama kuna process za kufuata n.k....

Ahsanteni....
Soma hii Post in thread 'Vichaa huona nini?' Vichaa huona nini?
 
Naomba kujua kama huwa unatabia ya kuzungumza mwenyewe mara kwa mara hii ni dalali kuuu
Yaani mkuu details ni nyingi sana siwezi kuziweka hapa, lakini nimepitapita sana mtandaoni nimeona hizi dalili zinausiana na tatizo linaitwa 'covert narcissistic personality disorder'
 
Habari zenu watanzania. Hivi karibuni nimeweza kugundua, baada ya kuchunguza kwa makini, kwamba kuna uwezekano mkubwa nina tatizo la kiakili(mental disorder). Kuna vitu nimekua nikivifanya, na kuna jinsi nimekua nikiishi na watu walionizunguka kwa miaka kadhaa sasa..... Hii imenipelekea kufanya uchunguzi ambao umeonyesha naweza kua na tatizo la akili....

Pia nimegundua hapa tz swala la afya ya akili tunalichukulia kiuwepesi sana, ni changamoto kupata msaada na isitoshe kuna hii dhana ya wanaume kua wagumu na wastahimilivu, hili limenifanye niwaze sana kuhusu kutafuta msaada.

Lakini sasa nimeamua hili swala nianze kulishughulikia kwasababu madhara naona yameanza kua makubwa. Sasa ningependa kujulishwa kama kuna njia nzuri ya kupata msaada, ikiwezekana wa kitaalam, juu ya matatizo ya afya ya akili. Saidia kwa mapendekezo yoyote uliyonayo. Ningependa kujua kama labda kuna gharama za kifedha zitahusika, au labda kama kuna process za kufuata n.k....

Ahsanteni....
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Tupo wengi mkuuuu wala hata usiwaze ni jambo la kawaida hilo
 
😊😊 unavua nguo unakimbiza watu na mawe,

Sorry sikuwa na nia ya kucheka😀😀😀
Kuna mahali tulikaa jamaa sijui aliittwa Ebyas e bana akivuta bange zake huko anashika panga anapeperusha hewani hapo mtaa mzima kitimtimu, anapeperusha panga hewani wote mnajifungia.
Wasela wenzie sasa
Tulikua Unatoka unamkalisha mnapiga story fresh tu.
Mtaa umetulia watu wamo ndani.
Maana wanajua ukitoka huko unakutana na mwamba🤣🤣🤣.
Huku si tunatoka tunampelekea matunda tunakaa nae kijiweni tunakula mapera na maembe mabichi story nyiingi.
Ukimuuliza anasema mi nazingua tu🤣🤣🤣
Panga analirudisha kwa bibi yake😅😅😅
Sasa unashindwa kuelewa yule jamaa alikua na hasira na wananchi au vp?
Punguza bangi mkuu huna kichaa chochote.
 
Habari zenu watanzania. Hivi karibuni nimeweza kugundua, baada ya kuchunguza kwa makini, kwamba kuna uwezekano mkubwa nina tatizo la kiakili(mental disorder). Kuna vitu nimekua nikivifanya, na kuna jinsi nimekua nikiishi na watu walionizunguka kwa miaka kadhaa sasa..... Hii imenipelekea kufanya uchunguzi ambao umeonyesha naweza kua na tatizo la akili....

Pia nimegundua hapa tz swala la afya ya akili tunalichukulia kiuwepesi sana, ni changamoto kupata msaada na isitoshe kuna hii dhana ya wanaume kua wagumu na wastahimilivu, hili limenifanye niwaze sana kuhusu kutafuta msaada.

Lakini sasa nimeamua hili swala nianze kulishughulikia kwasababu madhara naona yameanza kua makubwa. Sasa ningependa kujulishwa kama kuna njia nzuri ya kupata msaada, ikiwezekana wa kitaalam, juu ya matatizo ya afya ya akili. Saidia kwa mapendekezo yoyote uliyonayo. Ningependa kujua kama labda kuna gharama za kifedha zitahusika, au labda kama kuna process za kufuata n.k....

Ahsanteni....
Waone wana saikolojia
 
Habari zenu watanzania. Hivi karibuni nimeweza kugundua, baada ya kuchunguza kwa makini, kwamba kuna uwezekano mkubwa nina tatizo la kiakili(mental disorder). Kuna vitu nimekua nikivifanya, na kuna jinsi nimekua nikiishi na watu walionizunguka kwa miaka kadhaa sasa..... Hii imenipelekea kufanya uchunguzi ambao umeonyesha naweza kua na tatizo la akili....

Pia nimegundua hapa tz swala la afya ya akili tunalichukulia kiuwepesi sana, ni changamoto kupata msaada na isitoshe kuna hii dhana ya wanaume kua wagumu na wastahimilivu, hili limenifanye niwaze sana kuhusu kutafuta msaada.

Lakini sasa nimeamua hili swala nianze kulishughulikia kwasababu madhara naona yameanza kua makubwa. Sasa ningependa kujulishwa kama kuna njia nzuri ya kupata msaada, ikiwezekana wa kitaalam, juu ya matatizo ya afya ya akili. Saidia kwa mapendekezo yoyote uliyonayo. Ningependa kujua kama labda kuna gharama za kifedha zitahusika, au labda kama kuna process za kufuata n.k....

Ahsanteni....
Chizi Maarifa
 
Back
Top Bottom