Kupata mtu ambaye atakae kuwa mume wangu baadae

vigezo vyote ninavyo ispokuwa nataka kuongeza wewe uwe wa pili. kama uko tayareee ni-pm tulianzishe
 
MBONA WANAOTAFUTA UCHUMBA HUMU ACCOUNT ZAO ZOTE ZINAKUWAGA MPYAA! wazoefu vipi?
 
Yaani umenikosha mambo mawili.....asiwe anakunywa au anakunywa kidogo ila asiwe mlevi
awe hajawahi kuoa kwa umri huu ungeiondoa kuongeza idadi.
 

Dada una sifa za kuwa mke wa mtu.
 
wewe ni mnyamwezi?

@ LE MUTUZ STRAIGHT TALK!!: Kwa wale mnaolia sana kwamba Le Mutuz anapenda sana Mabebs, naomba kuwauliza eti mngependa NIPENDE NINI HASA NA MIMI NI MAMEN AFU BACHELOR? HA! HA! HA! I mean just shut up and mind your business kama vipi!! au show me unataka nipende nini? ha! ha! - LE MUTUZ
 
Biblia inasema Mwanamke mpumbavu hujenga nyumba kwa mikono yake, halafu HUIBOMOA KWA MIKONO YAKE MWENYEWE NA KUANZA KULAUMU KILA MTU LAKINI SIO YEYE MWENYEWE ALIYEIJENGA NA KUIBOMOA!!
- NDOA NI MWANAMKE AKIITAKA ITAKUWEPO ASIPOITAKA HAITAKUWEPO, NA SIKU ZOTE WAPO WALE THE MISERABLE AMBAO KAZI YAO NI KUSUBIRI UIBOMOE NDOA YAKO ILI UJIUNGE NAO KWENYE MISERY & COMPANY: WATAKUPAMBA KWAMBA WEWE NI SHUJAA NA MANENO MENGI YA MBURULAS KUMBE UKWELI NI KWAMBA WANA FURAHA SANA KWAMBA NA WEWE SASA NI MMOJAWAO YAANI THE NEW MBURULA IN DA HOUSE, MBEBS WA MIAKA 45 THINK TENA UNAOLEWA NA NANI? ULIYATAKA MWENYE PUNGUZA KELELE ZINACHOSHA SANA!! -
 
da kigezo kimoja kimenitoa nje
 
Ongeza maombi! Kwani huyo unayemtaka Dunia ya sasa ni Yegoo tu!!
 
Last edited by a moderator:
nina kitambi ila sio mnene nitakufaa? urf 5.9 nina 38 bahati mbaya sina nyumba napangisha

nina malengo mengi zaidi ya kuwa na nyumba na kadha wa kadhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…