Kupata ngono mikoani ni gharama kuliko Dar

Kupata ngono mikoani ni gharama kuliko Dar

mikoani hawaangalii sana mambo ya ela.

kule unaeza kuwa na ela yako na ukalala mwenyewe wasikuangaikie labda ubahatishe malaya wale wanaojiuza au wauza bar km wapo, maana kuna mikoa kuwapata ni mbinde.

mkoani umaaruf wa mtu na connections ndo kwao vinamata zaidi. ukiwa maaruf au unajulikana upo karibu na majamaa fulan wenye jina kubwa apo mkoani unapewa asali bila kinyongo.

wanapeana kwa kujuana zaidi kuliko ela.

ukikaa mkoani kimkakati ni sehem cheaper sana utat.0mba uchoke mwenyewe.

hlf hakuna uhusiano wa kut.0mba na ela maana km starehe wanapata zaidi hao wanaopewa izo ela. tumewaendekeza tu uku mijini.
 
Huyu mwamba yawezekana akienda mkoa anakuwa na sura ya vijana wa dar,, lazima wakupige Mzee wangu,, mkoa unapata kuku wa kienyeji pure buleeeeeeeee kbsaaaaaaaa labda kumbadilisha mazingra muda wa mti ngozi
 
Arusha niliwahi kutafuta furaha na amani ya moyoni , ila katika pita pita zangu niliahidiwa na mtoto mmoja pisi kali sana kuwa anaweza kunipa furaha na ngono pia kama nitahitaji.

Kwa sababu nilikua nataka furaha nijifeel na mimi ni binadamu basi aliahidi kunipa kwa exchange ya 200,000 taslimu.

Nilitoa bila hiana binti alijitahidi sana kunifurahisha ilishindikana mwisho wasiku akaamua kunipa ngono labda ningefurahi.. alijitahidi san ila iligonga mwamba.

Nikaona sijapata furaha bali ngono acha nikaitafute kwenye kuvuta gundi..

Nilivuta gundi sana siku tatu mfululizo mpaka nikawa na hisi moto kwenye kifua.

Lakini wapi.
 
Huyu mwamba yawezekana akienda mkoa anakuwa na sura ya vijana wa dar,, lazima wakupige Mzee wangu,, mkoa unapata kuku wa kienyeji pure buleeeeeeeee kbsaaaaaaaa labda kumbadilisha mazingra muda wa mti ngozi
Bure wapi huko utapata dem wa kukupa huduma chap chap labda kijijini kwenu huduma za kupata ngono dar zipo unlimited unachagua wewe uende wapi tofauti na mikoani ni gharama
 
Back
Top Bottom