Aisatu
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 781
- 333
Hi Wanajamvi
Jamani naombeni msaada na kuwauliza kwamba mke wangu tulikutana kwajili ya kutengeneza mtoto cha ajabu amenda mp cku 30 badala ya 32 ambayo ilikuwa normal.Na hajapata maumivu a tumbo kama ilivyokawaida mp zingine.maanake tulikuwa tunasubiria mp ya 32 akashitukia ananza kabla cku mbili.swali hapo amepata ujauzito au bado? Nipo njia panda naomba msaada wenu.
Jamani naombeni msaada na kuwauliza kwamba mke wangu tulikutana kwajili ya kutengeneza mtoto cha ajabu amenda mp cku 30 badala ya 32 ambayo ilikuwa normal.Na hajapata maumivu a tumbo kama ilivyokawaida mp zingine.maanake tulikuwa tunasubiria mp ya 32 akashitukia ananza kabla cku mbili.swali hapo amepata ujauzito au bado? Nipo njia panda naomba msaada wenu.