Hii natoa testimony 5 ambazo zitakudhirishia mapenzi sio pesa
1. Mpenzi wa kwanza. Wakala wa pesa kupitia mitandao ya simu.
👉Huyu demu mimi nilikua naenda kuweka miamala na Sina maisha miamala yangu ilikuwa haizidi elfu kumi (alifunguliwa duka LA huduma za fedha mkoa x na jamaa ake) nilikua namla Bila Ata kutoa Mia. Yule jamaa alikua Ana act kama baba, mda wote yupo serias, akiombwa pesa anatuma kwa wakati na hajawahi Sema hana pay(mda wote anauliza tu hali ya business akirudi home kachoka hawana Ata mda kupiga story sana) demu akaniambia napenda vitu anavonifanyiwa na jamaa Ila havutiwi nae
2.demu wa pili bwana wake alikua marketing officer wa kampuni fulani so nayeye akampa connection ya kazi mpenzi wake. Alikua ni wale jamaa mawivu mda wote Anamchunga mke wake vitisho sana, utemi mwingi, demu anamuogopa alipo kutana namimi full kujiachia nipo social aah demu nikamla Bila Ata Mia demu alikuwa anapenda kusikilizwa(nilichogundua jamaa alikua hamsikilizi demu kwa lolote huo ndo ukawa upenyo wangu)
3.demu wa tatu, bwana ake alikua dereva wa magari makubwa ya mizigo kwenda Zambia,na ndio alikua chief mkuu kwa madereva wengine kwahyo pay ilikuwepo, kurudi nyumbani ni Baada ya wiki Tatu,(demu anaachiwa laki 2 Kila week)demu naye alikua mfanyakazi udhaifu ni kwamba hakuwa anapata mtu WA kumwambia pole, akitoka kazini jamaa ake mda mwingi yupo kwenye uskani so muda mwingi mimi Nampa kampani na pumbu nampiga
Wa-nne. huyu demu nilimla siku moja kabla hajatolewa mahari,demu alikua anasumbuka sana na mambo ya kompyuta kwahiyo akawa amamwambia jamaa ake amlipe coz asome kompyuta jamaa anagoma, sometimes demu anamwambia jamaa amsaidie Kazi fulani fulani zinazohitaji matumizi ya mtandao jamaa anagoma, mimi demu akawa anakuja namuelekeza mwishowe nikala tunda, hadi siku moja kabla ya yeye kutolewa mahari ndo nikapiga chini(kilichomiss demu ni leadership kutoka jamaa)
Wa-tano Manzi alinipenda kisa, usimart kuvaa vizuri alafu,Sina tabia ya kuongea ongea sana mbele za wanawake, wanawake wakiwa wanapiga story zao, huwa hawapendi mwanaume anaeongea kama wakike,
alikua ni demu ambaye anashobokewa sana Ila mimi binafsi sivutiwagi na mademu wale hot, alikua akipita street salamu Sitoi, simsfii wala Namba siombi, siku moja Rafiki ake akanitonya oya demu anasema mimi ndo ninamfaa maana sina shobo, siku ya sku tukakutana kwenye sherehe, nikala tunda wazee, hakuna hela nilitoa zaidi ya lodge
Wa-sita.Huyu demu bwana wake alikua anamjali kinoma Ila alisahau kuwa anamsifia, mimi nikapitia humo ananunuliwa nguo na jamaa mimi namsifia umependeza kinoma, demu anavimba mwishowe nikala
Wa-saba.demu huyu alinunuliwa iPhone latest kabisa, akafunguliwa na duka la nguo, demu akijipost kavaa nguo za dukani kwake Nampa sifa kichizi demu libichwa hilo, 🤣mwishowe akanitunuku kiota, nikashusha wayahudi sijatoa Ata mia
Nihitimishe kwa kusema mapenzi si pesa.pesa tafuta kwa ajili yako sio kwa ajili ya kupata mwanamke
Ata maandiko yanasema hapo "mwanzo alikuwepo neno" usitangulize pesa sana🏃♂️
.
1. Mpenzi wa kwanza. Wakala wa pesa kupitia mitandao ya simu.
👉Huyu demu mimi nilikua naenda kuweka miamala na Sina maisha miamala yangu ilikuwa haizidi elfu kumi (alifunguliwa duka LA huduma za fedha mkoa x na jamaa ake) nilikua namla Bila Ata kutoa Mia. Yule jamaa alikua Ana act kama baba, mda wote yupo serias, akiombwa pesa anatuma kwa wakati na hajawahi Sema hana pay(mda wote anauliza tu hali ya business akirudi home kachoka hawana Ata mda kupiga story sana) demu akaniambia napenda vitu anavonifanyiwa na jamaa Ila havutiwi nae
2.demu wa pili bwana wake alikua marketing officer wa kampuni fulani so nayeye akampa connection ya kazi mpenzi wake. Alikua ni wale jamaa mawivu mda wote Anamchunga mke wake vitisho sana, utemi mwingi, demu anamuogopa alipo kutana namimi full kujiachia nipo social aah demu nikamla Bila Ata Mia demu alikuwa anapenda kusikilizwa(nilichogundua jamaa alikua hamsikilizi demu kwa lolote huo ndo ukawa upenyo wangu)
3.demu wa tatu, bwana ake alikua dereva wa magari makubwa ya mizigo kwenda Zambia,na ndio alikua chief mkuu kwa madereva wengine kwahyo pay ilikuwepo, kurudi nyumbani ni Baada ya wiki Tatu,(demu anaachiwa laki 2 Kila week)demu naye alikua mfanyakazi udhaifu ni kwamba hakuwa anapata mtu WA kumwambia pole, akitoka kazini jamaa ake mda mwingi yupo kwenye uskani so muda mwingi mimi Nampa kampani na pumbu nampiga
Wa-nne. huyu demu nilimla siku moja kabla hajatolewa mahari,demu alikua anasumbuka sana na mambo ya kompyuta kwahiyo akawa amamwambia jamaa ake amlipe coz asome kompyuta jamaa anagoma, sometimes demu anamwambia jamaa amsaidie Kazi fulani fulani zinazohitaji matumizi ya mtandao jamaa anagoma, mimi demu akawa anakuja namuelekeza mwishowe nikala tunda, hadi siku moja kabla ya yeye kutolewa mahari ndo nikapiga chini(kilichomiss demu ni leadership kutoka jamaa)
Wa-tano Manzi alinipenda kisa, usimart kuvaa vizuri alafu,Sina tabia ya kuongea ongea sana mbele za wanawake, wanawake wakiwa wanapiga story zao, huwa hawapendi mwanaume anaeongea kama wakike,
alikua ni demu ambaye anashobokewa sana Ila mimi binafsi sivutiwagi na mademu wale hot, alikua akipita street salamu Sitoi, simsfii wala Namba siombi, siku moja Rafiki ake akanitonya oya demu anasema mimi ndo ninamfaa maana sina shobo, siku ya sku tukakutana kwenye sherehe, nikala tunda wazee, hakuna hela nilitoa zaidi ya lodge
Wa-sita.Huyu demu bwana wake alikua anamjali kinoma Ila alisahau kuwa anamsifia, mimi nikapitia humo ananunuliwa nguo na jamaa mimi namsifia umependeza kinoma, demu anavimba mwishowe nikala
Wa-saba.demu huyu alinunuliwa iPhone latest kabisa, akafunguliwa na duka la nguo, demu akijipost kavaa nguo za dukani kwake Nampa sifa kichizi demu libichwa hilo, 🤣mwishowe akanitunuku kiota, nikashusha wayahudi sijatoa Ata mia
Nihitimishe kwa kusema mapenzi si pesa.pesa tafuta kwa ajili yako sio kwa ajili ya kupata mwanamke
Ata maandiko yanasema hapo "mwanzo alikuwepo neno" usitangulize pesa sana🏃♂️
.