Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elezea vizuri, maana utajiri si dhambi na pesa ni tamu kama unaitumia vizuri.Tajiri kuingia mbinguni ni nafuu ya ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Imeandikwa.[emoji1614][emoji276]
Umenifananishaa..!!Motivation speaker...
Kuna tofauti kati ya kusoma,kuelimika na kuwa na akili.Tusidanganyane. Fedha hazina kanuni. Kama zingekuwa na kanuni wasomi waliosoma mambo ya fedha ndio wangekuwa ma-bilionea hapa duniani maana hao wanajua kanuni na sheria za fedha
Ni kweli pesa siyo kila kitu japo inaweka amani moyoni lakini kuna nyakati inakwamaNumber 4 itoe
Maneno ya kujifariji ili tuendelee kuishi kwenye umaskini [emoji3][emoji3]Misemo ya kimasikini
1. Kupata ni majaaliwa
2. Mungu humpa amtakaye na humnyima amtakaye
3.Duniani tunapita, majumba na maghorofa ni fahari za dunia
4.Pesa sio kila kitu
5. Hata uwe na pesa dunia nzima ukifa huzikwi nazo
Usirudie tenaa!Umezungumzia kubet lakini juzi nilipiga 383,000/=
[emoji1787]
Yeah, for sure, pesa sabuni ya roho lakini Kuna vitu pesa haiwezi saidia chochote!Ni kweli pesa siyo kila kitu japo inaweka amani moyoni lakini kuna nyakati inakwama