Kupata utajiri siyo suala la bahati, ni sayansi kama zilivyo sayansi nyingine


Nakubaliana naww kwene utajiri ni sayansi!!!…
mfano tu nchi tajiri n ulaya!! … wao wanaamini sayansi tu
huku tunakoamini ndumba na ushirikina bado ni fukara
 
Hii yaweza kuwa kubwa sana kwa wengi hapa na ukiwaambia hii ni sayansi wanachanganyikiwa.

Labda tuseme ni hesabu, mfano ukifanya 1+1=2. Hii ni kanuni na ndivyo ilivyo katika uhalisia wa kusaka utajiri ni lazima uzijue kanuni kama vile kijiti kimoja kikiwekwa pamoja na kijiti kingine lazima upate vijiti viwili.

Shida inakuja katika kuzijua hizo sheria au kanuni na namna ya kuzitumia.

Ninchoweza kuwaambia hiyo elimu inayofundishwa mashuleni hadi vyuo vyenu vikuu hakuna kanuni za utajiri zinafundishwa.

Ndiposa wengi wanaoingia mtaani kujifunza kwa waliofanikiwa hufanikiwa na pengine wengine hurithishwa kanuni hizo toka wazazi kama Wahindi au familia za matajiri. Kuna wengine huamua kujifunza kama akina Ben Zen Tarot
 
Huwa mnaelewa sayansi ni nini kweli??
Kila kitu sasa hivi mnaita ni sayansi!
Dr. Mihogo alisema siasa ni sayansi
Wengine nimewasikia wakisema mpira nao ni sayansi
 
Huwa mnaelewa sayansi ni nini kweli??
Kila kitu sasa hivi mnaita ni sayansi!
Dr. Mihogo alisema siasa ni sayansi
Wengine nimewasikia wakisema mpira nao ni sayansi
Kwani sayansi ni nini ndugu...

Nijuavyo mimi Sayansi ni pale unapotumia au kufuatilia jambo kwa kuzingatia au kuegemea mbinu, kanuni au ushahidi thabiti wa jambo hilo lilivyofanyika au linavyofanyika na kukupatia matokeo sahihi bila chenga kama ulivyokusudia.

Ndio maana 1+1=2. Na kama mtu akikupatia kanuni au mbinu thabiti aliyoijaribu mara nyingi na anafikia malengo sio kwa kubahatisha. Basi hiyo ni Sayansi,

Labda sijui wewe unaifikiriaje sayansi ndugu tuzidi kueleweshana.
 
Vipi wale waliopata utajiri kwa urithi,au
Kwenye madini hawa walitumia sayansi gani
4. kuna watu wana bahati au nuksi. maana yangu ni kwamba kuna watu ambao kila wanachogusa katika biashara au ajira fulan wanafanikiwa. kinyume chake ni sawa, kuna watu wana nuksi. anafuata kanuni zote na sayansi za mtoa mada lakini hakuna kitu anafanikisha.
 
kwa hio una maanisha maskini wote hawafuti hizo njia hapo au. Vivyo hivyo matajiri hufuata njia hizo hapo?
 

Uko sahihi kabisa
 
Tajiri kuingia mbinguni ni nafuu ya ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.

Imeandikwa.[emoji1614][emoji276]
unajua kuwa matajiri ndio wanaoendesha ulimwengu na kuwalipa mishahara maskini.

Hebu fikiria dunia hii bila matajiri, tungemwabudu Mungu kwa vibanda vya nyasi😂

Yaani mfalme Suleiman alieandika kitabu cha Zabur, mithali, na vingine, mwenye hekima na tajiri mkubwa enz hizo ashindwe kutinga mbinguni. Acha hizo bhana.

Achana na fikra nzito, umaskini unaosemwa hapo ni akili. Unaweza ukawa tajiri wa fikra potofu na ovu.

Niishie hapo, kwani hata nikiandika maandishi kujaa JF zote hutokaa uelewe. Chagua umaskini, mimi nachagua utajiri man na mbinguni utanikuta kwani nina uhakika. Ninagonga maisha hapa na mbinguni pia kisha narud hapa kiendeleza maisha. Raha ilioje
 
How comes unahubiri kwa Mungu kila jambo linawezekana halafu unakuja kwangu kupiga mzinga
 
Hii sayansi ni muda muafaka sasa ikaingizwa kwenye mitaala yetu mashuleni, maana hali zetu ni tete.
Sahau, hilo halitakaa litokee milele. Labda uingize mwenyewe mitaala ya nyumbani kwako. Shulen ni rahisi kuingiza mitaala ya ushoga kuliko hilo na misaada ya vitabu na vyoo na mabafu shuleni mkapewa. KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…