Kupatwa kwa Huddah: Azama kimapenzi kwa mchagga!

Zurie

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
2,012
Reaction score
5,571
Haya jamani yule Sosholaiti wa Kenya kazama kwa Mchaga wa Kishumundu (Sina uhakika). Kaka huyo ajulikanaye kama Danford Kessy amemteka mrembo huyo ambaye amekiri kuwa ni muda mrefu amekuwa akijilinda lakini sasa amefika bei kwa Mkaka huyo Mreeembo (sijui mrembo wa kiume anaitwaje).

Hapa mi naona Punda kapata Punda! Maana Danny anasifika kwa Mapowder, Huddah nae Mange alisema eeti anasafirisha Mapowder.

Halafu za mtaani zasema kuwa Danny ni Marioooooooooooooo na akikosa wa kumlea anapiga hata mishe za U-Kaoge!.. Huddah asipoangalia atahonga mtaji woote wa Lipstick!...

 
Boss ni hela na now days nahisi pia mapenzi ni pesa
 
Duuuuuuu huddah Huyo hivi wa tz tunapendwa sana nje eeehhhh?
 
Mhhh huyu jamaa si wanasema ni Chakula ? Mtoto wa Tabata huyu ,haya kazi kwake na viuno vya Huddah
 
huyo jamaa "wakuitwaga" dany, mimi "nilijuaga" ni bonge la nigga kwa maana ya kwamba labda ana ushababi wa sisi watoto wa kiume marijali.

nimesoma comment hapa jf kwamba ni "bwabwa",na sasa namshusha hadhi.

"nilimjuaga" kupitia account yake instagram. kweli usilolijua ni kama usiku giza. asante jf.
 

Huyo mshkaji sijui hata kama anadindisha

Tatizo la mademu wa siku hizi hawato.mbwi vizuri mpaka watepete mpaka akijinusa ahisi kuna kiberiti kimewashwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…